GreatThinkers;
Hebu naomba tujadili juu watu kama Mwandosya na kina SiTTa japo kamtelekeza kwa kumpa wizara hasi kwake, Najiuliza kwa nini maswahiba kawatosa???
Kwa nini ujenzi amelazimika kumuweka Magufuri na Mwakyembe?
Mtu ambaye alitahidi kumficha kwa kumpa wizara zilizokuwa zimeshindana??????
Karibu:target: