Kusoma sana si kufaulu mtihani, soma kidogo pumzika tengeneza afya.JK ni sawa na wasomaji wanaosoma sana kwa kudhani atafahamu zaidi kumbe ni kuharibu zaidi.Anapiga kampeni bila kupumzika kwa nini asichoke?? na bado
Dr.Slaa tumekuwa naye mtaani kwa wiki nzima akijenga afya na kufanya networkings kama vile message chats, attend media conferences, visits and other sorts of.
Baadae si tumeshuhudia nguvu alo anza nayo it is a mass destruction kind of force.