Jk juu mpaka chini alinunua mwenyewe.

Jk juu mpaka chini alinunua mwenyewe.

NAPITA

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2012
Posts
5,077
Reaction score
2,248
picha.jpg
:lalala:
 
ahahahhah kwa hiyo alikuwa anaangalia thamani na ili ajue kama rongorongo inalingana bei na hiyo kyuti!
ila viatu vidhurije sasa!
 
Unamuona baba MwanaAsha anavyonyenyekea akiwa mbele ya wafadhili wake; shurti kwa kukunja mikono!! Chezea fedha ya warabu wewe!!!Jamaa ndio anauza nchi hivyo!
 
..posture ya mikono kati ya hawa watu wawili inatueleza mambo mengi,...kumbukumbu yangu inanitaarifu ukiwa unakaguliwa au unaongea na mtu "mkubwa" au mwenye kukuzidi nyanja fulani (in this case pesa mbele) mikono ya mkaguliwa huwa mbele, ya mkaguzi huwa nyuma...ni mtizamo wangu tu, mengine mtajijaza ...
 
uelewa mdogo unaweza kufanya mtu akawa wa ajabu tumuombee zaidi mungu atamuokoa.
 
Unamuona baba MwanaAsha anavyonyenyekea akiwa mbele ya wafadhili wake; shurti kwa kukunja mikono!! Chezea fedha ya warabu wewe!!!Jamaa ndio anauza nchi hivyo!

mkuu shurti ndo nini.
 
Back
Top Bottom