babumapunda
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 4,644
- 3,314
Kipindi mauaji ya Liberatus Baro aliekuwa kamanda wa police Mwanza yametokea, haikuchukua hata wiki wahalifu wakakamatwa, hili la Kibanda ni vipi hata harakati za kutafutwa hazionekani wazi wazi.
Hakika kauli hazitaweza fanikisha ukamatwaji wa wahalifu,
Tunataka vitendo.
Hakika kauli hazitaweza fanikisha ukamatwaji wa wahalifu,
Tunataka vitendo.