JK anahojiwa TBC now

JK anahojiwa TBC now

Mkuu anaongelea Vitu mchanganyiko
Sasa hivi ameingia ktk gas Kuwa safari yake mwisho UK alienda kuwaombea wanafunzi wetu wakasomee utaalamu wa gas.

Kwani hamna watu wizara ya elimu wa kufanya hiyo kazi?
 
hivi mtu.mzima na akili yako unaweza kukaaa na kimsikiliza Jk!???
 
Bado akili yako haijakomaa kiasi cha kusikiliza vitu vizito kama hivi. Ukimaliza kucheki UEFA, Kachezee playstation ... mambo haya ya kumsikiliza rais wa nchi tuachie watu wazima.

watu waelewa waache kuangalia mambo ya maana wakalie kushangaa hilo koti mlilotungika kwenye kiti cha magogoni?
 
Rais anaupendo sana! Hawa chadema wanamuonea kwa roho yake ya huruma na upendo, angekuwa Mkapa mbona wangekuwa wanatembelea magongo karibu wote? Wawaulize Zanzibar, au wasubiri 2016 baada ya uchaguzi wakutane na kifaa EL tuone kama Chadema sijui ukawa kama watatamba na kutukana hivi.

you are not serious! huyu kikwete aliyewatuma akina ighondu wakamtesa dr ulimboka ndiye mwenye huruma?!
 
Mkuu hapa ndiyo Kibera na kunasehemu zingine ni zaidi ya hapo, eneo bomba la mafuta liliporipuka.
Kama ni bongo hapa nitajie eneo maana nyumba za umasikini wetu nazijua na zinajulikana.

akili yako imechoka kama ya lukuvi? kibera wanatumia bendera ya tanzania!?
 
you are not serious! huyu kikwete aliyewatuma akina ighondu wakamtesa dr ulimboka ndiye mwenye huruma?!

Mkuu hizo ni siasa tu, kama Mbowe kujiripua na kudai ni ccm anadai eti mkanda anao kwann asiutoe watu wamepoteza maisha?
Au kama issue ya kujiteka makao makuu ikashindikana matokeo yake wakamdhuru Said kubenea, alipogundua waka M-please kwa ahadi na kumulipia nyumba nzima kwa miaka miwili japo alitibiwa na serikali.
Kama hujui muulize Swai bouncer Billcanas atakusimilia.
 
akili yako imechoka kama ya lukuvi? kibera wanatumia bendera ya tanzania!?

Bendela ni kitambaa tu pengine yeye hajui amechukua tambala ameziba Tundu.
Kwani ni ofisi ya serikali mpaka aweke bendera?
Au ni trick ya mpiga picha tu.
 
Tuonyeshe na kwenyu Kenyaaa pakojee

kenya mie sijakataa kama huyu bwana wenu ajiita rich pol ETI ANADAI UKITAKA KUONA UMASKINI ETI UENDE KENYA TZ MAISHA NI POA SANA.NIKAMWAMBIA UONGO MTUPU NDIO NIKAMPA PICHA ZA HAPO TZ BADO ANAKANA SIO TZ.SASA NDIO AKAGUTUKU USINGIZINI NA KUJINDANGANYA ANAMEZA MEZA ULIMI SASA.AFRICA MASKINI WA AKILI, MALI TUNAZO VIONGOZI WABAYA NA SISI TUNAWAPEA VYEO, PIA SISI WANANCHI OVYO KABISA
 
Terrible ccrrraaappp; rais anasafiri kwenda kuomba wanafunzi wasomee mambo ya gesi kama vile hakuna ofisi ya ubalozi.

Mkuu nilijaribu kutafakari, nikagundua kwamba nchi hii inaongozwa na waziri wa mambo ya nje aitwaye JK. Huwezi kuwa Rais wa nchi eti unafunga safari kwenda kuomba wanafunzi wako wakasomee mambo ya gesi..!!?? Bado sitaki kuamini.
 
Rais JK anahojiwa na TBC1
Kuhusu katiba Sasa hivi.

Hiki nacho ni kituko na maajabu mengine ya Tanzania. Hivi seriously TBC1 wanaweza KUHOJI A RECORDED SPEACH? This reminds me yule mjumbe wa BMK kutoka Zanzibar aliyesema kwamba wananchi wote ZNZ waliulizwa na Karume kupitia Radio ZNZ mara 3 kama wanautaka muungano?. Wazanzibari wote WAKAMUTIKIA Karume kwamba, NDIYO TUNAUTAKA MUUNGANO. Ajabu ni kwamba wakati akisema mambo hayo ambayo ni KICHEKESHO KIKUBWA ZAIDI YA AKINA JOTTI wajumbe wa CCM walikuwa wakimshangilia kwa nguvu sana. Nikajiuliza hivi hakuna mwana-CCM mwenye akili timamu kutambua hicho KIOJA!
 
kenya mie sijakataa kama huyu bwana wenu ajiita rich pol ETI ANADAI UKITAKA KUONA UMASKINI ETI UENDE KENYA TZ MAISHA NI POA SANA.NIKAMWAMBIA UONGO MTUPU NDIO NIKAMPA PICHA ZA HAPO TZ BADO ANAKANA SIO TZ.SASA NDIO AKAGUTUKU USINGIZINI NA KUJINDANGANYA ANAMEZA MEZA ULIMI SASA.AFRICA MASKINI WA AKILI, MALI TUNAZO VIONGOZI WABAYA NA SISI TUNAWAPEA VYEO, PIA SISI WANANCHI OVYO KABISA

Mkuu lakini hapo ktk picha Kurasini Dar es salaam siyo kabisa, kwanza kuna watu wako ktk mkutano na bango la NO VOTE
siyo kurasini, ni Kenya, wakazi wa kurasini na wengi ya waTZ mabango yao ni yako kwa kiswahili kabisa. Mtakuwa mmekosea badala ya kuandika Kibera Nairobi.
 
you are so dumb.hata bendera huoni.sina muda kurumbana kama hapo sio tz ole wako tembelea mji wako kaka.

Kwa hiyo Tandale nikikuta kuna Bendera ya Marakani kunageuka kuwa Michigan?
 
Yaani hata bendera ya nchi yako huijui? Majanga
 
Mkuu hapa ndiyo Kibera na kunasehemu zingine ni zaidi ya hapo, eneo bomba la mafuta liliporipuka.
Kama ni bongo hapa nitajie eneo maana nyumba za umasikini wetu nazijua na zinajulikana.

Yaani hata bendera ya nchi yako huijui? Majanga
 
Ok kumbe wote wanaovaa tshirt za I love New York ikiambatana na bendera kumbe ni wamarekani?

Aiseeee itakuaa mi hapa nina kitambaa cha benderaa Chinaa kumbe mu mchinaa
 
Mkuu sometime uwe na shukrani! Maisha tunayoishi hapa ni mazuri sana ukilinganisha na nchi jirani, Kenya imetuzidi kiuchumi lakini angalia maisha ya watu wa chini! Shida tupu! Kibela majanga hata huamini kama ni Nairobi, ukizaliwa family tajiri utakuwa tajiri, masikini ni masikini tu, corruption ndiyo usipime, police waonevu wa raia hasa wageni, wafanyakazi wa hotel wezi, yote hayo kujikimu na maisha magumu, si mala elfu ya hapa???!.

Hayo ndo yanayokuja bongo angalia tunapoelekea wee unathani walilala wakaamka wakayakuta
 
Back
Top Bottom