JK anahojiwa TBC now

JK anahojiwa TBC now

Tupia updates kwa uchache mkuu hususani kwa sisi tusio na tv.

Mkuu anaongelea Vitu mchanganyiko
Sasa hivi ameingia ktk gas Kuwa safari yake mwisho UK alienda kuwaombea wanafunzi wetu wakasomee utaalamu wa gas.
 
Tbc inamuhoji au inampromoti hawawezi kumuuliza maswali yaliyo nje ya matakwa ccm
 
Yaani niache kucheki UEFA nimtazame huyo jamaa!!

Bado akili yako haijakomaa kiasi cha kusikiliza vitu vizito kama hivi. Ukimaliza kucheki UEFA, Kachezee playstation ... mambo haya ya kumsikiliza rais wa nchi tuachie watu wazima.
 
Mbona kuna inzi ni ikulu kweli
Naona JK anafukuza inzi
 
Tupia updates kwa uchache mkuu hususani kwa sisi tusio na tv.

Anajisifu anasema alikwenda U.S.A 2006 akakataliwa kuonana na rais badala yake akawa anaongea na makamo wa raisi gafla akatokea rais bush haahaahaa akamwambia ' YOURE GOOD MAN' halaf akapiga nae picha uyo akaja zake. Najuta kubadilisha steshen kuacha kuangalia UEFA .
 
Naona anaelezea tu namna nchi ilivyo ombaomba...
 
Hotuba yote anazungumzia misaada.Yaani mawazo yake ni kusaidiwa tuu na marekani.Huyu sidhani kama atapinga ushoga
 
Back
Top Bottom