politics at work..mzee akili yako fupi sana...yaani umeishia kwenye jeans tuu..hakyanani vile hufai humu JF..wewe hujaangalia nini ilikuwa nyuma ya pazia kwa hiyo action ya JK kufanya mazoezi arusha?? jiulize
Nafikiri yalikuwa ni matembezi ya jioni. Ajifunze kwa wenzake wanaoongozwa na instructors (Bi Rice pichani). Sasa jamaa hata akimaliza hizo Km3 anakuwa wabariiidi hata tone la jasho hana.