Augustine Moshi
JF-Expert Member
- Apr 22, 2006
- 2,556
- 1,393
hata ccm ikianguka nani hasa wakuiongoza hii nchi? sioni. siipendi ccm ila sioni mbadala. wate wachumia tumbo na wengine hawajitambui kabisa. wasikini Tanzania. haina mtetezi.
Hii mbinu ya kusema hakuna mbadala ilishindwa Kenya na Zambia. Kenya walisema wengi KANU tu ndiyo inaweza kutawala Kenya. Kura zikapigwa, KANU ikaanguka, na nchi ikafaidika sana. Zambia hivyo hivyo: walisema wale wanaogopa mabadiliko ni UNIP tu ndiyo inaiweza Zambia. Kura zikapigwa, UNIP ikaangukia pua na Zambia ikaondoka kwenye lindi la kudidimia.
Sasa ni zamu ya CCM. Itoke tu, maana tumechoka.
hata ccm ikianguka nani hasa wakuiongoza hii nchi? sioni. siipendi ccm ila sioni mbadala. wate wachumia tumbo na wengine hawajitambui kabisa. wasikini Tanzania. haina mtetezi.
Rais Kikwete ametoa utabiri huo wakati wa maadhimisho ya miaka 37 ya kuzaliwa CCM huko mkoani Mbeya. Alisema kwamba chama kimekithiri kwa ufisadi, dhuluma, rushwa, hongo, umangimeza na vitendo vingi vichafu suala ambalo linapunguza imani ya wananchi kwa chama na serikali.
JK alionya kwamba endapo chama hakitachukua hatua za makusudi kujisafisha, hakitavuka 2015 na akawatahadhalisha wanachama wake kujiandaa kisaikolojia kuchukua nafasi ya chama kikuu cha upinzani baada ya uchaguzi wa mwaka 2015--kwa kuwa haoni dalili za chama kujirekebisha na kurejesha mvuto kwa watanzania kabla ya uchaguzi ujao.
Akihojiwa na idhaa ya kiswahili ya BBC leo asubuhi, kada maarufu wa CCM na ambaye ni mwenyekiti wa bodi ya madini, Bw Richard Kasesela, alikiri kwamba sasa hivi CCM ni kama gulio--mwenye pesa ndiye anayenunua uongozi. 'Watu wanatembeza pesa makanisani na misikitini mchana kweupe bila kuhojiwa wamezipataje hizo fedha', alihoji Bw Kasesela.
MY TAKE:
Ni afadhali wanaCCM mmeamua kusema ukweli. Vzr sana!
hapo kwenye red. kumbe jamaa anajua kinachofwata mbeleni. na amekubali chama kimfie mikononi mwake
Ya ukweli ni ipi sasa? Hebu tupe ya ukweli unayojua wewe...maneno yametamkwa mchana kweupe halafu wewe unapinga kwa faida ya nani?
Hii mbinu ya kusema hakuna mbadala ilishindwa Kenya na Zambia. Kenya walisema wengi KANU tu ndiyo inaweza kutawala Kenya. Kura zikapigwa, KANU ikaanguka, na nchi ikafaidika sana. Zambia hivyo hivyo: walisema wale wanaogopa mabadiliko ni UNIP tu ndiyo inaiweza Zambia. Kura zikapigwa, UNIP ikaangukia pua na Zambia ikaondoka kwenye lindi la kudidimia.
Sasa ni zamu ya CCM. Itoke tu, maana tumechoka.
Hii mada ni ya uongo, uzushi na imepotosha ukweli