JK aitabiria CCM kifo

Mtahangaika sana kupotosha na kuchochea chuki dhidi ya jk, ila hamtaweza
 
Sijawahai kusema lakini leo nasema kwamba "NAMPONGEZA RAIS KWA MANENO HAYO" JK anajua mwaka 2010 alipita kwa mbinde ndio maana anawatahadharisha wana ccm juu ya tabia zao mbaya.Kikwetu umenena.Big up
 
Hivi si kuna mwenzao mmoja alishasema kuwa CCM imeoza?

JK anapoteza muda wa kuongea tu hiki chama kilishaoza siku nyingiiiii,sema watu walikuwa kwenye usingizi wa pono tu!

Sasa watanzania wameanza kujitambua!
 
It is just a matter of time, time will tell where ccm will be in 10 years time
 
mkuu nipe huo mbadala unaouona wewe. maana naona umeamua kunishambulia kweli kweli. mimi sijauona.

 
Mtakufa ninyi' mtaiacha CCM madarakan

Je, unapingana na Mwenyekiti wako (Kikwete)? Kama ndivyo basi tuambie wewe una maoni gani juu ya hiyo kauli ya JK...suala la kufa na kuiacha CCM linaingiaje hapa wakati JK mwenyewe amesishasoma alama za nyakati na kuujua ukweli? Kama wewe una akili kuliko mwenyekiti wako, tetea hoja sio unaropoka tu kama bwabwa halafu unaondoka bila kueleza kitu chochote!
 
Ccm kufa ni Sawa na kukauka bahari mtaendelea kusubiri sana bahari ikauke muingize magari kwenda zanzibar kwa barabara
 
tetesi ni kwamba 2015 majengo yote tuliyodhulumiwa na ccm tutarejeshewa , OFISI NDOGO LUMUMBA kugeuzwa kuwa MACHINGA COMPLEX !
 
Hao ndivyo walivyokuwa tangu zamani ila hatukujua maovu ya ccm kwa sababu hapakuwepo Cdm,waliokuwepo enzihizo akina Mtikila,Mrema,Zitto wa Cuf Hamad Rashid,Hashim Rungwe,Seif Sharif Hamad nawachumia tumbo engine ambao kaziyao ilikuwa nikula Rushwa pale wagunduapo inshu
 

Safi sana kaka richad baambie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…