Jiwe la #Bashiru Limeupiga Mzinga,"Malkia wa Nyuki"Ametoka!

Jiwe la #Bashiru Limeupiga Mzinga,"Malkia wa Nyuki"Ametoka!

voicer

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2020
Posts
5,545
Reaction score
11,943
Naam!
"Bash-Law" amelenga Mshono kwenye "Mzinga wa Nyuki" ndani ya CCM!
Ghafla ikaitishwa Kikao cha dharula CCM Dodoma!

Mara tumemuona Mama kaingia Site huko Singida na Manyara kwa haraka!

Tumemuona Akimnyanyua waziri wa wakulima #Bashe ili amjibu #Bashiru!

Lakini busara za #Bashe zikamuepusha na Malumbano kwa wajina wake #Bashiru!

Leo tutasubiri kusikia kama Mama mwenyewe ataamua kumjibu #Bash-Law!

CCM ilipofika kwa sasa,inahitajika kina "Bash-laws" wengi ili kuiokoa toka kwenye mikono ya walioikosakosa kuiua kabla ya 2015!

Nawakumbusha tena enyi ma-chawa wa Asali!

"Mwambieni Mama!
hii nguvu aitumie kuleta umeme, maji na kupunguza makali ya maisha kuliko huu utaahira wenu"

Mvua mnazosingizia kusababisha Mgao wa Umeme!
Hatujawahi pewa taarifa yoyote toka kwa wasimamizi wa mabwawa ya Umeme nchini.
Tangu pale yule wa Kidatu,alipopingana na Makamba mwaka jana!

Ni kama walipigwa stop kuongelea Mabwawa yao,sambamba na yule wa TPDC aliyepingana na Makamba kuhusu akiba ya Mafuta nchini,mwaka Jana hiyohiyo!

Matatizo!

"Ninahisi kana kwamba ninaadhibiwa,"
Anasema mwanamke mwenye umri wa miaka 55 hivi baada ya kujua kwamba ana kansa. Akitafakari kuhusu makosa aliyofanya miaka kadhaa mapema, alikata kauli hivi, “Lazima hii iwe njia ya Mungu ya kuniambia kwamba nimetenda dhambi.”

WANAPOPATWA na matatizo!

Watu wengi huhisi kwamba Mungu anawaadhibu kwa sababu ya makosa fulani waliyofanya. Wanapokumbwa na msururu wa matatizo, wanaweza kusikika wakisema: “Kwa nini mambo haya yananipata mimi? Nilifanya nini ili nistahili kupatwa na mambo haya?”
Je!
tunapaswa kukata kauli kwamba matatizo yetu yanaonyesha Mungu anatuhukumu?
Je!
kweli matatizo ya kibinafsi ni adhabu kutoka kwa Mungu?

Tunapokaa na kuendeleza Malumbano kwenye Mambo ambayo,tunao uwezo wa kuyapatia ufumbuzi sisi wenyewe!

Na tukapofushwa na Itikadi za milengo ya kisiasa ndani ya Bongo zetu!

Tukasahau kwamba kule Majumbani kwetu,tunalalia Mashuka na Mablanketi ya kununua kwa Pesa zetu,na sio Bendera za Vyama vyetu vya siasa!

Tunapokubali mustakabali wetu na familia zetu kuamuliwa na kundi la wachache!

Halafu tunabaki kusema ni Kudra za Mungu!

Hiyo sio Sahihi.
#Tutasimamana #Bashiru
#BashirusioNdugai

Alamsikhi!
10101.
 
Ccm ni is a state with in a state,nchi ipo captured ni Hawa mburukenge wa ccm,wapo jeshini,intelijensia,utumishi wa umma,polisi,uhamiaji.
CDF wote wastaafu Wana kadi za ccm.
Ccm inataka mfumo kama wa chama Cha kikomusnist Cha china.
State apparatus zote zipo chini ya chama.Chama kina control mifumo yote ya uchumi,uwezi kuwa mkurugenzi mpaka uwe ccm,
Kuna tender huwezi para,lazima uwe mtu wa chama.
Sera za maendeleo zinaamuliwa na ccm Ili kulinda uhai wake,sio kuleta maendeleo ya wananchi,kinachotwfutwa ni jinsi uchumi utakavyokiuhudumia chama kiendelee kubaki Madarakani,
 
Ccm ni is a state with in a state,nchi ipo captured ni Hawa mburukenge wa ccm,wapo jeshini,intelijensia,utumishi wa umma,polisi,uhamiaji.
CDF wote wastaafu Wana kadi za ccm.
Ccm inataka mfumo kama wa chama Cha kikomusnist Cha china.
State apparatus zote zipo chini ya chama.Chama kina control mifumo yote ya uchumi,uwezi kuwa mkurugenzi mpaka uwe ccm,
Kuna tender huwezi para,lazima uwe mtu wa chama.
Sera za maendeleo zinaamuliwa na ccm Ili kulinda uhai wake,sio kuleta maendeleo ya wananchi,kinachotwfutwa ni jinsi uchumi utakavyokiuhudumia chama kiendelee kubaki Madarakani,
Na kinachoandaliwa ni watoto wao kusoma nchi za nje na pia shule Bora nchini.
Ili wawe na uwezo wa kuzipata na kuzikalia nafasi nyeti,wakiwarithi baba na Mama zao wa ndani ya Mfumo!

Ndio maana unaona majina yaleyale yakiendelea kujirudiarudia!

Huko Kenya Uchaguzi uliopita ni matokeo ya hiyo system!

Uchaguzi wa Kenya ilikuwa ni
Baina ya UDA " - State Capture's" dhidi ya AZIMIO - "State Cartel's"

Wala haikuwa wheel barrow wala hustlers!

Ndio Maana umewaona wale walioshinda wakitamba kwa utajiri wao hadharani mbele ya tume ya Verification!
 
Ccm inataka mfumo kama wa chama Cha kikomusnist Cha china.
State apparatus zote zipo chini ya chama.Chama kina control mifumo yote ya uchumi,uwezi kuwa mkurugenzi mpaka uwe ccm,
Lakini wachina uchumi wao unapaa kupelekea kuwatisha wanaojiita dunia ya kwanza.

Upuuzi kama huu mnaoita kulamba asali kule hauvumiliki.
 
Lakini wachina uchumi wao unapaa kupelekea kuwatisha wanaojiita dunia ya kwanza.

Upuuzi kama huu mnaoita kulamba asali kule hauvumiliki.
Hata huyu mshika Remote wetu,Alionja joto ya jiwe pale China,kupitia mtoto wake!

Na leo inatugharimu kwa kulazimishwa Bandari ya Bagamoyo!
 
Naam!
"Bash-Law" amelenga Mshono kwenye "Mzinga wa Nyuki" ndani ya CCM!
Ghafla ikaitishwa Kikao cha dharula CCM Dodoma!

Mara tumemuona Mama kaingia Site huko Singida na Manyara kwa haraka!

Tumemuona Akimnyanyua waziri wa wakulima #Bashe ili amjibu #Bashiru!

Lakini busara za #Bashe zikamuepusha na Malumbano kwa wajina wake #Bashiru!

Leo tutasubiri kusikia kama Mama mwenyewe ataamua kumjibu #Bash-Law!

CCM ilipofika kwa sasa,inahitajika kina "Bash-laws" wengi ili kuiokoa toka kwenye mikono ya walioikosakosa kuiua kabla ya 2015!

Nawakumbusha tena enyi ma-chawa wa Asali!

"Mwambieni Mama!
hii nguvu aitumie kuleta umeme, maji na kupunguza makali ya maisha kuliko huu utaahira wenu"

Mvua mnazosingizia kusababisha Mgao wa Umeme!
Hatujawahi pewa taarifa yoyote toka kwa wasimamizi wa mabwawa ya Umeme nchini.
Tangu pale yule wa Kidatu,alipopingana na Makamba mwaka jana!

Ni kama walipigwa stop kuongelea Mabwawa yao,sambamba na yule wa TPDC aliyepingana na Makamba kuhusu akiba ya Mafuta nchini,mwaka Jana hiyohiyo!

Matatizo!

"Ninahisi kana kwamba ninaadhibiwa,"
Anasema mwanamke mwenye umri wa miaka 55 hivi baada ya kujua kwamba ana kansa. Akitafakari kuhusu makosa aliyofanya miaka kadhaa mapema, alikata kauli hivi, “Lazima hii iwe njia ya Mungu ya kuniambia kwamba nimetenda dhambi.”

WANAPOPATWA na matatizo!

Watu wengi huhisi kwamba Mungu anawaadhibu kwa sababu ya makosa fulani waliyofanya. Wanapokumbwa na msururu wa matatizo, wanaweza kusikika wakisema: “Kwa nini mambo haya yananipata mimi? Nilifanya nini ili nistahili kupatwa na mambo haya?”
Je!
tunapaswa kukata kauli kwamba matatizo yetu yanaonyesha Mungu anatuhukumu?
Je!
kweli matatizo ya kibinafsi ni adhabu kutoka kwa Mungu?

Tunapokaa na kuendeleza Malumbano kwenye Mambo ambayo,tunao uwezo wa kuyapatia ufumbuzi sisi wenyewe!

Na tukapofushwa na Itikadi za milengo ya kisiasa ndani ya Bongo zetu!

Tukasahau kwamba kule Majumbani kwetu,tunalalia Mashuka na Mablanketi ya kununua kwa Pesa zetu,na sio Bendera za Vyama vyetu vya siasa!

Tunapokubali mustakabali wetu na familia zetu kuamuliwa na kundi la wachache!

Halafu tunabaki kusema ni Kudra za Mungu!

Hiyo sio Sahihi.
#Tutasimamana #Bashiru
#BashirusioNdugai

Alamsikhi!
10101.
Tupambane. Tutashinda.

Na Mungu wa Mbinguni atatusaidia. Ameeen.
 
Naam!
"Bash-Law" amelenga Mshono kwenye "Mzinga wa Nyuki" ndani ya CCM!
Ghafla ikaitishwa Kikao cha dharula CCM Dodoma!

Mara tumemuona Mama kaingia Site huko Singida na Manyara kwa haraka!

Tumemuona Akimnyanyua waziri wa wakulima #Bashe ili amjibu #Bashiru!

Lakini busara za #Bashe zikamuepusha na Malumbano kwa wajina wake #Bashiru!

Leo tutasubiri kusikia kama Mama mwenyewe ataamua kumjibu #Bash-Law!

CCM ilipofika kwa sasa,inahitajika kina "Bash-laws" wengi ili kuiokoa toka kwenye mikono ya walioikosakosa kuiua kabla ya 2015!

Nawakumbusha tena enyi ma-chawa wa Asali!

"Mwambieni Mama!
hii nguvu aitumie kuleta umeme, maji na kupunguza makali ya maisha kuliko huu utaahira wenu"

Mvua mnazosingizia kusababisha Mgao wa Umeme!
Hatujawahi pewa taarifa yoyote toka kwa wasimamizi wa mabwawa ya Umeme nchini.
Tangu pale yule wa Kidatu,alipopingana na Makamba mwaka jana!

Ni kama walipigwa stop kuongelea Mabwawa yao,sambamba na yule wa TPDC aliyepingana na Makamba kuhusu akiba ya Mafuta nchini,mwaka Jana hiyohiyo!

Matatizo!

"Ninahisi kana kwamba ninaadhibiwa,"
Anasema mwanamke mwenye umri wa miaka 55 hivi baada ya kujua kwamba ana kansa. Akitafakari kuhusu makosa aliyofanya miaka kadhaa mapema, alikata kauli hivi, “Lazima hii iwe njia ya Mungu ya kuniambia kwamba nimetenda dhambi.”

WANAPOPATWA na matatizo!

Watu wengi huhisi kwamba Mungu anawaadhibu kwa sababu ya makosa fulani waliyofanya. Wanapokumbwa na msururu wa matatizo, wanaweza kusikika wakisema: “Kwa nini mambo haya yananipata mimi? Nilifanya nini ili nistahili kupatwa na mambo haya?”
Je!
tunapaswa kukata kauli kwamba matatizo yetu yanaonyesha Mungu anatuhukumu?
Je!
kweli matatizo ya kibinafsi ni adhabu kutoka kwa Mungu?

Tunapokaa na kuendeleza Malumbano kwenye Mambo ambayo,tunao uwezo wa kuyapatia ufumbuzi sisi wenyewe!

Na tukapofushwa na Itikadi za milengo ya kisiasa ndani ya Bongo zetu!

Tukasahau kwamba kule Majumbani kwetu,tunalalia Mashuka na Mablanketi ya kununua kwa Pesa zetu,na sio Bendera za Vyama vyetu vya siasa!

Tunapokubali mustakabali wetu na familia zetu kuamuliwa na kundi la wachache!

Halafu tunabaki kusema ni Kudra za Mungu!

Hiyo sio Sahihi.
#Tutasimamana #Bashiru
#BashirusioNdugai

Alamsikhi!
10101.
Maneno meeengi ambayo kimsingi ni dua la kuku!
 
Hata huyu mshika Remote wetu,Alionja joto ya jiwe pale China,kupitia mtoto wake!

Na leo inatugharimu kwa kulazimishwa Bandari ya Bagamoyo!
Lakn hiyo ni siri kubwa
Anakwambia maisha bora kwa kila mtanzania leo hii mtoto wake ni bora kuliko taifa afadhar taifa hasara kuliko kumtoa kafara baby. 2025 tunasimama na Bashiru.
 
Back
Top Bottom