rajiih
JF-Expert Member
- Apr 4, 2019
- 500
- 757
Ukitaka uinjoi Mapenzi basi we JITOE UFAHAMU TU...Ishi kama hakuna LOGIC duniani na usijiulize-ulize maswali kutaka kuchambua SITUATIONS na kujaribu kutumia Akili kwenye Mapenzi...Ukitaka kutumia Akili nenda kawe Mwanasayansi utusaidie Kuvumbua Dawa za Corona na Chanjo Za covid Uko...
Ukiwa Penzini au Ukiwa unataka kuingia Penzini kaziache akili zako LABORATORY zisaidie kukuza minyoo...
Kila mtu anataka MPENZI WA PEKE YAKE lakini kila mpenzi unayegusa unakuta JAMAA WALIPITAGA ZAMANI na hawana idadi...Na ukijifanya kutumia AKILI kumuuliza
"Umewahi kulala na Wanaume wangapi before me",Jibu lao huwa ni rahisi kweli...."Wawili tu yaani we ndo wa 3",Wakati kumbe wewe ni kijamaa cha 54...Ana MAEX 53...Mtu ana MAEX 53 atakuwaje MPENZI WA PEKE YAKO???
Ina maana wewe ndo unasugua na Steel Wire au?? Kashaguswa na kila type, Pingili za Mihogo,.Ndizi Kisukari, Tango, Tambi ya Jiko,
na kila type na LAZIMA mmoja kati ya hawa MAEX alimfeel sana japo IT DIDNT WORK OUT wakaachana ingawa deep down wana feelings za kimyakimya...Kuambiwa wewe UNAPENDWA haimaanishi hamna EX ambaye kila akimuona Anaget Wet!
Na MAEX wengine hawana huruma,hata wasipoonana Miaka 2, siku wakikutana Anaget Wet jamaa anapitisha Dekio,na atarudi home atakutext, "I love you babe mi ndo nalala, Nakupenda sana"
Ukiamua kupenda WE PENDA TU, ila ukitaka kujua yanayojiri ndani ya Penzi lako UTAWEKEWA DRIPU BURE...Shkamoo wewe hapo ambaye EX WAKO WA 36 kila mkikutana lazima mpashe kiporo japo unampenda mmeo..Shkamoo Sana...Mapenzi matamu sana
Ukiwa Penzini au Ukiwa unataka kuingia Penzini kaziache akili zako LABORATORY zisaidie kukuza minyoo...
Kila mtu anataka MPENZI WA PEKE YAKE lakini kila mpenzi unayegusa unakuta JAMAA WALIPITAGA ZAMANI na hawana idadi...Na ukijifanya kutumia AKILI kumuuliza
"Umewahi kulala na Wanaume wangapi before me",Jibu lao huwa ni rahisi kweli...."Wawili tu yaani we ndo wa 3",Wakati kumbe wewe ni kijamaa cha 54...Ana MAEX 53...Mtu ana MAEX 53 atakuwaje MPENZI WA PEKE YAKO???
Ina maana wewe ndo unasugua na Steel Wire au?? Kashaguswa na kila type, Pingili za Mihogo,.Ndizi Kisukari, Tango, Tambi ya Jiko,
na kila type na LAZIMA mmoja kati ya hawa MAEX alimfeel sana japo IT DIDNT WORK OUT wakaachana ingawa deep down wana feelings za kimyakimya...Kuambiwa wewe UNAPENDWA haimaanishi hamna EX ambaye kila akimuona Anaget Wet!
Na MAEX wengine hawana huruma,hata wasipoonana Miaka 2, siku wakikutana Anaget Wet jamaa anapitisha Dekio,na atarudi home atakutext, "I love you babe mi ndo nalala, Nakupenda sana"
Ukiamua kupenda WE PENDA TU, ila ukitaka kujua yanayojiri ndani ya Penzi lako UTAWEKEWA DRIPU BURE...Shkamoo wewe hapo ambaye EX WAKO WA 36 kila mkikutana lazima mpashe kiporo japo unampenda mmeo..Shkamoo Sana...Mapenzi matamu sana






