Shamba lenye ukubwa wa ekari kumi linauzwa. Lipo km 6 kama ukitokea makabe, Morogoro Road au km 8 kupitia mbezi mwisho. Lina faida zifuatazo:- banda unaloweza kufugia ng'ombe, bonde zuri unaloweza kulima mpunga au mbogamboga, kuna minazi na miembe. Mauzo yatasimamiwa na Nsamy Real Estate and General Suppliers Ltd na si madalali wasiosajiliwa. Bei ni shilingi milioni 120, mazungumzo yanaruhusiwa. Kwa maelezo zaidi piga 0786 046 484, email gmwiga@yahoo.com. Karibu.