J jfnewuser Member Sep 26, 2011 6 0 Sep 26, 2011 #1 2010 Bajaj Pulsar Mahali iliko: Dar Es Salaam Kuingizwa na Kuandikishwa Tanzania : 2010 Ujazo: 150cc Odometer: 9400 km BEI: TSHS 2,750,000/= Contacts: 0714 539263 Nimeitumia pikipiki hii kwa matumizi binafsi tu, na nimeamua kuiuza kwa sababu ninataka kununua nyingine kubwa zaidi. Cheki kitu hicho hapa chini.
2010 Bajaj Pulsar Mahali iliko: Dar Es Salaam Kuingizwa na Kuandikishwa Tanzania : 2010 Ujazo: 150cc Odometer: 9400 km BEI: TSHS 2,750,000/= Contacts: 0714 539263 Nimeitumia pikipiki hii kwa matumizi binafsi tu, na nimeamua kuiuza kwa sababu ninataka kununua nyingine kubwa zaidi. Cheki kitu hicho hapa chini.
J jfnewuser Member Sep 26, 2011 6 0 Sep 26, 2011 Thread starter #3 Saint Ivuga said: naona unauza vimalizio Click to expand... Sikujua kama vina majina kama haya. Anyway kama uko tayari tuwasiliane tu mkuu Ivuga.
Saint Ivuga said: naona unauza vimalizio Click to expand... Sikujua kama vina majina kama haya. Anyway kama uko tayari tuwasiliane tu mkuu Ivuga.
LiverpoolFC JF-Expert Member Apr 12, 2011 11,348 3,219 Sep 26, 2011 #4 Mkuu! Kuna mshikaji wangu nimemwonyesha hiki kifaa akasema kama M 1 inafaa akucall. Lakini nikamtahadharisha ya kwamba humu ndani hakunaga utani.
Mkuu! Kuna mshikaji wangu nimemwonyesha hiki kifaa akasema kama M 1 inafaa akucall. Lakini nikamtahadharisha ya kwamba humu ndani hakunaga utani.
J jfnewuser Member Sep 26, 2011 6 0 Sep 26, 2011 Thread starter #5 liverpoolfc said: Mkuu! Kuna mshikaji wangu nimemwonyesha hiki kifaa akasema kama M 1 inafaa akucall. Lakini nikamtahadharisha ya kwamba humu ndani hakunaga utani. Click to expand... Mkuu M1 haitoshi hata kununulia sunlg tu acha hyo kitu ya mhindi.
liverpoolfc said: Mkuu! Kuna mshikaji wangu nimemwonyesha hiki kifaa akasema kama M 1 inafaa akucall. Lakini nikamtahadharisha ya kwamba humu ndani hakunaga utani. Click to expand... Mkuu M1 haitoshi hata kununulia sunlg tu acha hyo kitu ya mhindi.
M mjasiria JF-Expert Member Jan 10, 2011 4,156 1,849 Sep 27, 2011 #6 Mkuu hiki kitu cha ukweli sana. Vipi nikikipigia udalali utanipa sh ngapi?
J jfnewuser Member Sep 26, 2011 6 0 Sep 27, 2011 Thread starter #7 mjasiria said: Mkuu hiki kitu cha ukweli sana. Vipi nikikipigia udalali utanipa sh ngapi? Click to expand... Lete mteja kwanza ndio tutaongea vizuri.
mjasiria said: Mkuu hiki kitu cha ukweli sana. Vipi nikikipigia udalali utanipa sh ngapi? Click to expand... Lete mteja kwanza ndio tutaongea vizuri.