Hii ni karanga iliyosagwa na kuchanganywa na chumvi kwa ajili ya matumizi ya nyumbani. Siagi hii ni mbadala kabisa kwa wale wanaohitaji kubadilisha mfumo wa ulaji wa mafuta ya kupikia ukikumbuka kwamba mafuta haya sio salaama kwa afya.
UNAIPATAJE?
Tupo Tabora na tunatuma popote kwa kiwango utakacho. Wewe tu kuchangia gharama ya Usafiri kwa mikoani.
BEI ZETU NI KAMA IFUATAVYO
1. Kisado kidogo chenye ujazo sawa na lita 4 kikijaa Peanut butter tunauza Tsh. 40,000/=
LAKINI PIA YAPO MAKOPO (PARKING) YA UJAZO TOFAUTI TOFAUTI KWA BEI ZIFUATAZO
1. Kopo la Tsh.500
2. Kopo la Tsh. 1000
3. Kopo la Tsh. 2000 na Tsh. 3000
4. Kopo la mpaka Tsh. 5,000
MAWASILIANO:
Simu 0764 601 703
0769 601 703
WEKA ODA YAKO
TUNAPATIKANA MKOANI TABORA
KARIBUNI SANA
Hiyo ya matumizi ya kupikia huku ikiwa kama gundi hata nyumbani mtu anatengeneza mwenyewe kwa kinu au blender, tutengenezeeni peanut butter laini Kama mchuzi mzito unapaka mkate na kupikia. Kama American Dream wanayo nzuri sana unaweza kucopy.
Hiyo ya matumizi ya kupikia huku ikiwa kama gundi hata nyumbani mtu anatengeneza mwenyewe kwa kinu au blender, tutengenezeeni peanut butter laini Kama mchuzi mzito unapaka mkate na kupikia. Kama American Dream wanayo nzuri sana unaweza kucopy.