serious?!!!!!kiwanja kinauzwa kinyerezi 1250squere meter bei 50 million,kipo umbali na barabara kuu kwa mita 70 karibu sana.kwa mawasiliano nitafute 0673269820.
Milion 50 ni bei rahisi??kiwanja kinauzwa kinyerezi 1250squere meter bei 50 million,kipo umbali na barabara kuu kwa mita 70 karibu sana.kwa mawasiliano nitafute 0673269820.
Kinyerezi sio vikindu, bei sahihi hiyo kama unaijua kinyerezi.Milion 50 ni bei rahisi??
Iyo ni pesa ya Zimbabwe nduguhiyo million hamsini kwacha za zambia au tzshillings
Ikifikia hatua ukaamua kuondoa sifuri iliyoko baada ya tano uniambie tufanye biashara mkuu.Kinyerezi sio vikindu, bei sahihi hiyo kama unaijua kinyerezi.
Sio mimi ninayefanya hiyo biashara, pitia uzi na mleta uzi.Ikifikia hatua ukaamua kuondoa sifuri iliyoko baada ya tano uniambie tufanye biashara mkuu.