Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,786
- 35,747
Habari wana JF!
Leo nimeona niwaletee simu ya infinix NOTE 3! Ni simu niliyoitumia kwa miezi minne tu!
Sifa kubwa ya hii simu ni kukaa na chaji, so far imezipiku simu nyingi katika hii nyanja!!
Pia ina support fast charging, inajaa chaji ndani ya muda mfupi sana!
Ina finger print kwa ajili ya usalama/password!
Ina camera yenye 13MP na front camera yenye 5MP zote zina flash light!
Memory ya ndani ni 16GB
RAM ni 2GB!
Na inapatikana kwa 310,000/= Tshs!! Maelewano yapo!
Iko katika hali nzuri sana maana mda wote imetumika ikiwa na cover na screen protector!!
Nauza kwasababu nna simu ingine kama hii!!
Mawasiliano: 0625760188 (Text + calls)!
Karibuni!!
Leo nimeona niwaletee simu ya infinix NOTE 3! Ni simu niliyoitumia kwa miezi minne tu!
Sifa kubwa ya hii simu ni kukaa na chaji, so far imezipiku simu nyingi katika hii nyanja!!
Pia ina support fast charging, inajaa chaji ndani ya muda mfupi sana!
Ina finger print kwa ajili ya usalama/password!
Ina camera yenye 13MP na front camera yenye 5MP zote zina flash light!
Memory ya ndani ni 16GB
RAM ni 2GB!
Na inapatikana kwa 310,000/= Tshs!! Maelewano yapo!
Iko katika hali nzuri sana maana mda wote imetumika ikiwa na cover na screen protector!!
Nauza kwasababu nna simu ingine kama hii!!
Mawasiliano: 0625760188 (Text + calls)!
Karibuni!!