Jinsi ya kuwalinda watoto na ukatili kama vile kubakwa, kulawitiwa na michezo mingine mibaya

Mwachiluwi

JF-Expert Member
Mar 10, 2022
17,796
32,148
Habari za mwamko,

Mimi leo napenda kushare na ninyi kitu hiki Kutokana na dunia yetu kuwa na mabadiliko na watu sikuizi hawana huluma stress zinawapelekea kuwatendea watoto wetu mambo yasiyofaa.

Mimi huwa na kaa na watoto wa dada zangu sijabahatika bado mtoto lakini mimi huwa natenga siku kabisa narudi mapema naaza kuongea nao na wapa elimu na nini wanatakiwa kufanya kama kikitokea kitu tofauti.

Sana sana jumamosi na jumapili huwa nawata na kuanza kuimba nao kwa kuwaelezea maana ya ukatili ni nin? Na nisehemu gani mtu hatakiwi kukugusa na akikugusa unatakiwa ufanye nini?

Mara kwa mara huwa nawaambia uncle cole ukienda chooni unatakiwa kuzingatia nini? Anasema natakiwa niwe peke yangu na nihakikishe nawa vizuri mikono baada ya kutoka chooni.

Na hata nikirudi nyumbani huwa nawaita nawauliza siku yenu ilikuaje basi wanaaza kuniadhithia mwalimu kanichapa leo kwasababu nilikuwa nakimbia kwenye korido na mimi namkazia namwambia hujafanya vizuri, hata mtu shuleni kwao akiwa anatabia mbaya ananiambia.

Sasa elimu yangu imezaa matunda juzi mtoto wakati na muogesha akanimbia uncle colee dada akininogesha ananichezea hapa nikamuuliza kafanya hivyo mara ngapi akasema kila akiniogesha nikamwambia sawa nalishughulikia.

Nikaenda kwa dada wa kazi nikamuita nikamuuliza ukimwogesha mtoto huwa unamfanya nini? Akasema hapana sifanyi kitu nikamuita mtoto akaja nikamwambia tell me what dada amefanya akasema mbele yake akaaza kusema kaka samahani.

Kwahiyo nini nataka kusema jijengeeni mazoea ya kuongea na watoto wenu kila siku hatakama ukichelewa kurudi usikubali kulala bila kuangalia watoto wapoje.

Now days hata nikichelewa kurudi watoto wananingojea wanataka wanione ndio walale na leo wakati nawapeleka shule wakanionesha kijana mmoja ambae huwa anawaita waita now nisha lisove hilo.

Ukiona hiki nachokifanya kizuri fanya kwa watoto wako utakuja nipa majibu
 
Hicho ulichofundisha hapo kimenisaidia sana maan matukio ninayoona yamsisimua

Jitaida sana kuongea nao atakama umechoka mimi inafikaga mda naludi nachoka lakini watoto wananingojea mda mwingine unasema atasema ujinga tu lakini ukija kumsikiliza kina maana

Yaani mpa juzi mwalimu kaniita kaniambia watoto wako ni majasili sana wanajivunia wewe sana
 
Jitaida sana kuongea nao atakama umechoka mimi inafikaga mda naludi nachoka lakini watoto wananingojea mda mwingine unasema atasema ujinga tu lakini ukija kumsikiliza kina maana

Yaani mpa juzi mwalimu kaniita kaniambia watoto wako ni majasili sana wanajivunia wewe sana
Asante sana mkuu
 
Jitaida sana kuongea nao atakama umechoka mimi inafikaga mda naludi nachoka lakini watoto wananingojea mda mwingine unasema atasema ujinga tu lakini ukija kumsikiliza kina maana

Yaani mpa juzi mwalimu kaniita kaniambia watoto wako ni majasili sana wanajivunia wewe sana
Hata ETUGRUL BEY anajivunia wewe pia

Kuna kitu umetufundisha au kutukumbusha

Mungu nawe akujalie siku moja upate wanao pia na kuyafanya hayo hayo
 
Habari za mwamko,

Mimi leo napenda kushare na ninyi kitu hiki Kutokana na dunia yetu kuwa na mabadiliko na watu sikuizi hawana huluma stress zinawapelekea kuwatendea watoto wetu mambo yasiyofaa...
Mungu akubariki kaka, maana pia ujasiri wa kuzungumza na watoto si kitu rahisi. Nakushukuru sana umenipa ujasiri wa kuzungumza na wanangu.

Na je hivi hili suala unaweza kuanza kuzungumza na mtoto mwenye kuanzia umri gani? Wa kwangu ana miaka nane.

Je ni umri sahihi kumuelezea haya. Maana najua atakuwa na maswali ya kila aina. Natanguliza shukrani za dhati. Na ni wa kike.
 
Mungu akubariki kaka, maana pia ujasiri wa kuzungumza na watoto si kitu rahisi. Nakushukuru sana umenipa ujasiri wa kuzungumza na wanangu. Na je hivi hili suala unaweza kuanza kuzungumza na mtoto mwenye kuanzia umri gani? Wa kwangu ana miaka nane, je ni umri sahihi kumuelezea haya. Maana najua atakuwa na maswali ya kila aina. Natanguliza shukrani za dhati. Na ni wa kike.

Hawa wa kwangu mmoja ana miaka minne mwingine mitano lakini hata huyo wa miaka nane ukiaza kuongea nae atakuambia mengi sana ya nyuma na yanayo endelea
 
Msiogope kuwakagua watoto wa kiume nyuma kuna mtoto pia wa kaka angu alikuja likizo nikawa simuelew anatabia chafu nikasema embu nimuogeshe ana miaka tisa nikamwambia embu nikuangalie kuna vipele vinaotaga uku ukiwa unasoma embu nione akasema kweli baba nikamwambia ndio nikamkagua nikakuta yupo vizur nikagundua malezi ni mabovu baba yake ana mpa uhuru sana nikaongea na baba yake akajifanya mbishi hila mpka anatoka kwangu anaenda kwa baba yake alimwambia kile nilicho mfundisha now nimeambiwa amebadilika anafanya vitu vyake kwa wakati
 
Back
Top Bottom