Investor 1
Senior Member
- May 4, 2022
- 107
- 198
Mkuu umenena kweli 100%, kuambatana na maskini hakuna faida yoyote ile. Maskini ni wakuepuka kabisa wanachelewesha. Wao mawazo yao yameishia tumbonikuuepuka umaskini ni kuacha kujichanganya na maskini.
maskini hao ni:
maskini wa akili na mawazo.
maskini wa sio jua kubadilisha tabia zao na mbinu ya kijikwamua.
leo kajipendekeze kwa mtoto wa bhakharesa kama utakuw maskini basi umerogwa