Captain22 JF-Expert Member Joined Aug 25, 2011 Posts 630 Reaction score 285 Feb 13, 2013 #1 Naomba kupata msaada namna ya kuweka setting za zantel au voda kwenye modem ya d link ambayo inatumia line yeyote
Naomba kupata msaada namna ya kuweka setting za zantel au voda kwenye modem ya d link ambayo inatumia line yeyote
A Auto Member Joined Nov 7, 2012 Posts 51 Reaction score 10 Feb 13, 2013 #2 Mkùu hii post ungeipeleka jukwaa la tech ingekuwa rahisi kupata ufumbuzi
nurbert JF-Expert Member Joined Feb 26, 2012 Posts 1,887 Reaction score 428 Feb 14, 2013 #3 Auto said: Mkùu hii post ungeipeleka jukwaa la tech ingekuwa rahisi kupata ufumbuzi Click to expand... kwani Hili Ni Jukwaa Ganiiiii????
Auto said: Mkùu hii post ungeipeleka jukwaa la tech ingekuwa rahisi kupata ufumbuzi Click to expand... kwani Hili Ni Jukwaa Ganiiiii????
nyondoloja Senior Member Joined Nov 10, 2010 Posts 190 Reaction score 53 Feb 14, 2013 #4 nurbert said: kwani Hili Ni Jukwaa Ganiiiii???? Click to expand... Amepitiwa
Chief-Mkwawa Platinum Member Joined May 25, 2011 Posts 32,062 Reaction score 43,492 Feb 14, 2013 #5 nurbert said: kwani Hili Ni Jukwaa Ganiiiii???? Click to expand... yani mkuu ukiona hivyo ujue hio post haikupostiwa hapa then moderator wa hilo jukwaa alivoona akaihamishia hapa huyo jamaa akiwa amesha reply. Possibly huyo mtu ulomjibu hata huku hafiki
nurbert said: kwani Hili Ni Jukwaa Ganiiiii???? Click to expand... yani mkuu ukiona hivyo ujue hio post haikupostiwa hapa then moderator wa hilo jukwaa alivoona akaihamishia hapa huyo jamaa akiwa amesha reply. Possibly huyo mtu ulomjibu hata huku hafiki
Captain22 JF-Expert Member Joined Aug 25, 2011 Posts 630 Reaction score 285 Feb 14, 2013 Thread starter #6 Wakuu naombeni jibu. Hapa natumia ka nokia 2626 kascreen kaduuuchu tabu tupu