Jinsi ya kutumia GlassFish server ku-access Database naomba msaada

Jinsi ya kutumia GlassFish server ku-access Database naomba msaada

Msamiati

R I P
Joined
Mar 6, 2011
Posts
1,063
Reaction score
700
Habari za Hapa Wana Tech,

Kuna kaProject kangu najaribu kukafanya, lakini nimefikia mahali nimekwama. Natengeneza webservice ambayo itakuwa ina-access na DataBase, sasa mwanzo nilizani mechanism yote ya Ku-connect na dataBase inaishia kwenye program yangu, badala yake nakuja kukutana na Maconnection pool na data resourses.

Sasa huku kote sina tatizo, shida yangu ni kutaka kujua, naongeza nini kwenye webservice programm yangu ili iweze kutumia resource niliyotengeneza kwenye glassFish.

Yaani nitawezaje kutumia resource niliyotengeneza kwenye GlassFish kwenye Webservice yangu. Nimehangaika sanaaaa bila dalili za mafanikio.

Nimesha program webservice yangu ipo kwenye Eclipse, tatizo nikiideploy kwenye Glassfish server haitaconnect na DataBase kwasababu hakuna code yoyote inayoleta uhusiano kati ya webservice na Resource ya DataBase kwenye GlassFish.

Lugha ninayotumia ni JAVA. Naomba msaada nimalizie haka kaproject tafadhari.

CC: Stefano Mtangoo, Nyasiro, Chief-Mkwawa, njunwa wamavoko
 
Glassfish na Tomcat ni Web servers tu. Hazihusiani na Database. Database Connection ni ktk App yako lakini uwena running Database Server husika like MySQL Server.

Unaconnect vipi database kwa sasa?
 
Stefano Mtangoo,

Sina tatizo na program ya kawaida ku-access Database, shida ni Webservice Programm ku-access na Database kwa kutumia GlassFish Server.

May be unisaidie kama kuna kitu cha ziada kinachotakiwa unapotumia webservice kuconect database pengine mimi nime-complecate tu.
 
Last edited by a moderator:
Stefano Mtangoo,

Sina tatizo na program ya kawaida ku-access Database, shida ni Webservice Programm ku-access na Database kwa kutumia GlassFish Server.

May be unisaidie kama kuna kitu cha ziada kinachotakiwa unapotumia webservice kuconect database pengine mimi nime-complecate tu.

Lengo lako ni nini? Inawezekana kukawa na njia rahisi!
 
Lengo lako ni nini? Inawezekana kukawa na njia rahisi!

Nimetengeneza Java Application (SOAP Webservice) ambayo nataka ku-ideploy kwenye GlassFish Server, Aplication yangu inafanya kazi ya kuprocess data kutoka na kwenda kwenye DataBase.

Aplication nimeitengeneza vizuri na inafanya kazi parfect, lakini ninapo iweka kwenye server inashindwa ku-access database. Nishauri njia nyepesi ya kukamilisha hili zoezi
 
Nimetengeneza Java Application (SOAP Webservice) ambayo nataka ku-ideploy kwenye GlassFish Server, Aplication yangu inafanya kazi ya kuprocess data kutoka na kwenda kwenye DataBase.
How did you program (No not codes) hiyo Web service? Note Hakuna anayeona kwenye PC yako so maelezo yawe yanajitosheleza

Aplication nimeitengeneza vizuri na inafanya kazi parfect, lakini ninapo iweka kwenye server inashindwa ku-access database. Nishauri njia nyepesi ya kukamilisha hili zoezi
Hapa napo maelezo yanahitajika. Inafanya kazi vyema then few words later inashindwa kufanya kazi. Ina maana una server mbili tofauti au?

Ushauri wangu unakuja kwa njia ya swali: Kwa nini unatumia web service ku access database? Kwa nini usitumie JDBC?
 
Ninatumia JDBC Drivers, kuconect kwenye DB,

Nataka Hii Software iwe ina-run kwenye server ili iwe inahudumia websites na Mobile Aplications. Hii software ina interface ambayo inapokea data na ku-ziprocess then inaretun output.

Yaani websites na Software zengine ziwe na uwezo wa kufanya request kwenye Software inayorun kwenye server na kupata majibu.

Mfano: Kama ni PHP application, iwe inauwezo wa kuita Function iliyopo kwenye server na kuipasia Argument kisha iweze kureceive data kutoka kwenye server.

Hapo vipi nimeeleweka! Nisaidie tafadhari Stefano Mtangoo
 
Mfano, nina hii Application:

Code:
package com.msamiati.DemoClass;

public class WebService {
    
    private int data;


    public static void main(Args[]Strings){
        //Main class
    }
    
    public int getTotal(int amount){
        
        //getCurrentRate ni function inayoreturn int kutoka kwenye Database
          
        this.data=amount*getCurrentRate();
        
        return data;
    }
}

Sasa nataka hii programm ikakae kwenye Public server then application yoyote duniani iwe na uwezo wa kutumia getTotal function, mfano kwenye PHP

Code:
getTotal(25000);
 
Nimekuelewa. SOAP is always a beast I have avoided! Umefika mbali? Kama unaweza kugeuka nadhani REST itakuondolea maumivu ya kutosha. Link hii hapa chini inakupa pa kuanzia. lakini kama umefika mbali inabidi utuambie what is working and whats is not working kwa maana ya Error messages.

Je JDBC inaconnect? Port iko sahihi? Server logs? n.k n.k

http://stackoverflow.com/questions/3882082/rest-json-web-services-java-ee-framework
 
Halafu mbona class yako ina miss webService na webMethod annotations?
 
Last edited by a moderator:
Yah! nimeiandika bila anotation, nimetype hapa haraka haraka ili nikuoneshe nilichokuwa nataka kufanya.

Nashukuru kwa msaada, sasa niambie, mimi naweza kuanza upya sijafika kokote, je nikitumia RestFull itakuwa rahisi zadi au ndio usefull way!!? sijui chochote kuhusu RestFull ila huwa naichukulia kuwa ngumu, kuliko SOAP. Stefano Mtangoo
 
Back
Top Bottom