Subiri siku ya ijumaa saa nne kasoro hadi kwenye saa nne na robo asubuhi huku unachoma udi na ubani mashtaka unataka mara 7 unatia nia 7 mara 7 uelekeo uwe ni masharikiNitaka nitumai nipate kazi, nyota yangu ni mizani, nifanye vipi hii spell ili nifanikiwe mkuu Rakims
Ubani mashtak kuupata ndo kazi mkuuSubiri siku ya ijumaa saa nne kasoro hadi kwenye saa nne na robo asubuhi huku unachoma udi na ubani mashtaka unataka mara 7 unatia nia 7 mara 7 uelekeo uwe ni mashariki
Rakims
Nataka Mkurugenzi/ muajiri wangu aniachie nihame maana yake niruhusiwe kuhamia sehemu nyingine ninayotaka kwenda maana amekuwa na roho ngumu kama Farao anakataa kupitisha barua zangu ili nihameMkuu sijaelewa unachohitaji
Rakims
Siku ya alhamisi saa 12 45 asubuhi uelekee kusini magharibi useme mara 100 huku unachoma udi na kafur zikiwa zimechanganyikaNataka Mkurugenzi/ muajiri wangu aniachie nihame maana yake niruhusiwe kuhamia sehemu nyingine ninayotaka kwenda maana amekuwa na roho ngumu kama Farao anakataa kupitisha barua zangu ili nihame
Nme angalia umo Nyota yangu ni Mbuzi .no ya bahati ni 8 element ni Earth
Tafuta miatun saila kwanzaNme angalia umo Nyota yangu ni Mbuzi .no ya bahati ni 8 element ni Earth
Ha ha haUnaweza taja hayo maneno huku umefumba macho ukashtukia unachomwa dole
Inategemea na ombiuna wish kwa kuomba au ku command
WISH FULFILL WITHIN AN HOURRakims
View attachment 809837
Je ulishawahi kutamani jambo litokee kwa haraka na urahisi zaidi na likashindikana?
Hii hapa njia rahisi ya kutimiziwajamb unalotaka kwa muda mfupi.
Jinsi ya kufanya:
Kaa faragha asikuone mtu ukiwa peke yako na ufanye meditation ya dakika 3 hadi utulize mawazo yote,
baada ya hapo anza kusema maneno haya mara 7 kwa kunong'ona:
"YUZI RASI MIN SARI SASI"
View attachment 809841
Hakikisha umeyahifadhi kichwani na uyatamke bila kusita wala kukwama hakika haitachukua muda utaona ajabu,
View attachment 809844
KUMBUKA:
si kila wish unaweza ku wish kwa idadi ya 7 inategemea na wish yenyewe
TAHADHARI:
Kumbuka hii ni chanting hivyo usifanye mchezo na chanting ni sawa na kuweka au kuswitch button ya kuwashia taa hakikisha unachowasha ni taa na haujashika waya uliouchi halafu ukawasha taa,
the result will be worst, so unless you have something to wish wish it careful na si ku wish randomly sh*t comes on your head
View attachment 809840
Kama wewe nni mtu wa kujaribu jaribu hovyo jus make a wish in dream world cause kwa sababu huko ndio hutapata effect in real life.
View attachment 809843
Tutakuja kuitiana vibwengo na majini humu