Hapana. C.H ni C.Hhiyo ni I'd ya C.H ?
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 komwe lime ungurumaHapana. C.H ni C.H
Na Mad Max ni mtu mwingine, nimemtag yeye sbb ya ujumbe wa uzi.
C.H yuko zake Africa ya Kati huko
Af acha kumtaja taja. Mbuni wewe
Una bahati tuko hadharani 😂😂😂🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 komwe lime unguruma
nayeye ni mume wa ntu? 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 me a goooUna bahati tuko hadharani 😂😂😂
Mume wa mtu tena? We kima ile ngoma nazindua mwenyewenayeye ni mume wa ntu? 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 me a gooo
Kwingine kote unikosha ila kutengeneza kinywaji kwa kutegemea kinywaji kingine haijakaa muruwa!!!
Kusema kweli Walevi Wana mchango mkubwa kwenye Uzi huu😀😀Kwa mtu kama Mad Max unamwongezea na rum 🔥 View attachment 2908014
Ahsante sana. Na hiyo nayo tunaomba muongozo Depal au ndio hiihii ya Aaliyyah ?Kusema kweli Walevi Wana mchango mkubwa kwenye Uzi huu😀😀
DR Mambo Jambo ulichataka hiki hapa
Southern Highland muongozo umepatikana
Aunt share nao Hawa jamaa walitaka hii
Process ni hizo hizo. Ila utaanza na rum/ vodka b4 soda
Last weekend nilioverdose SIB.Kwa mtu kama Mad Max unamwongezea na rum 🔥 View attachment 2908014
Una kiwanja chako 20 kwa 20 Mbinguni.I hope mko vyema
Ni kinywaji kinachopendwa na watu wengi na ni kitamu sana
Naomba kushare nanyi sikumoja moja muwe mnaenjoy hata mkiwa nyumbani
LEMONADE MOCKTAIL mahitaji
Glass 1
Msukumio au kifaa Cha kupondea mchanganyiko wako
Ndimu/limao 1
Majani ya mnanaa(mint)
Sukari kijiko kimoja sio lazima unaweza usiweke kama hupendi sukari au ukaweka kidogo
Soda nyeupe(sprite)
Vipande vya barafu(icecubes)
Namna ya kutengeneza
1.kata ndimu Yako slice 4 weka Tatu kwenye glass moja acha kwaajili ya kupambia
weka na majani 5 ya mint pamoja na sukari kiasi upendacho
2.chukua kifaa Cha kupondea ulichooandaa Kama ni msukumio au chochote anza kuponda mchanganyiko wako taratibu Kwa sekunde 30
3.weka vipande vya barafu(icecubes) kwenye glass yenye mchanganyiko wako
Weka slice ya ndimu ilobaki kama pambo
4.miminia soda ya sprite kwenye glass Yako koroga tayari Kwa kunywa
Inapunguza hangover
Hufanya ujisikie vizuri
Mint na limao husaidia digestion
NB kama utatumia limao bas weka kiasi kama ni kubwa sio lazima kutumia lote
Nawatakia weekend njema
😍Nawapenda View attachment 2907979View attachment 2907984View attachment 2907986
Sio 35 kwa 35 😂 au 30 kwa 40Una kiwanja chako 20 kwa 20 Mbinguni.
Pole sana 😂😂😂🙌 next time ukilewa usishike simu. Utakuja kuahidi watu mamilioni ujue!Last weekend nilioverdose SIB.
Niliomba kukuche aisee.. Kitanda kilikua kinapinduka, nikalala chini ardhi inageuka, nikaenda bafuni nikafungua maji yakawa yananimwagikia.. Nikachukua ndoo nikaigeuza nikakalia uku shower inanimwagikia, nikasinzia..
Oya..
Asubuhi nakuta nimetuma msg kwa watu kibao kwamba nakufa, nishaacha hadi urithi wa makochi,, oya..
Nilichobugi sema nikijua.. Bia mbili za mwisho niligida fasta fasta coz nilikua ndio tunasepa,, hafu fasta nikafikia kulala.... Kumbe inabidi tokea kast beer uinywe atleast acha 1 hour ndio ukalale . Na sikua na Fanta orange ya kupooza rejeta..
Next week am back with Smirnoff Ice Black babe