snipa
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 4,523
- 2,162
Lenovo wana FN + F12 pia mkuu, usikalili.Usikariri mkuu.. hp, Dell, Lenovo, Acer na brand zingine zina different bootable key.. wengine f2, wengine f9 wengine f12 and the likes..
Lenovo wana FN + F12 pia mkuu, usikalili.Usikariri mkuu.. hp, Dell, Lenovo, Acer na brand zingine zina different bootable key.. wengine f2, wengine f9 wengine f12 and the likes..
1 - Unapotumia NTFS ni kwaajili ya kupata options nyingi kwenye flash mana unaweza fanya compression ya mafile vizuri tu ukiwa katika hiyo New file system.
Mimi naomba kujuzwa jinsi nitaona vitu vyangu nilivyohifadh katika flash,mana ghafla sivioni,na capacity ni 32Gb,free space unasoma 16Gb,
Msaada tafadhal nafanyaje kuweza kuona vitu vyangu?
thA God thA bubbs!!






apo piga ramli tuuso amna njia yoyte bila kutumia hzo key kwa sababu keybord yangu aifunction upande wa hizo keyUsikariri mkuu.. hp, Dell, Lenovo, Acer na brand zingine zina different bootable key.. wengine f2, wengine f9 wengine f12 and the likes..
Download software inaitwa Data recovery tool inaweza kurudisha vitu vyote vilivyofutwa au kuformatiwaEbwana mimi naomba unifundishe kitu kimoja. Nawezaje ku restore files ambazo nimeshazifuta mpaka kwenye recycle bin?
Ndiyo inawezekana. Unatumia data recovery software. Google zipo nying sana.Ebwana mimi naomba unifundishe kitu kimoja. Nawezaje ku restore files ambazo nimeshazifuta mpaka kwenye recycle bin?