Jinsi ya kuroot simu za Android

Mm nataka ku root samasung A7 2016 marshmalow, kuna mtu aliniambie et kwa samsung mashmalow bado haiwezekan, naweza harb simu ,je kuna ukweli hapo
 
Nasubr alieroot samsung marshmalow akafanikiwa ndo na mm ni root, sio niwe chambo nakat kasim kang ndo haka haka, n samsung A7 2016
 
Msaada niliroot TECNO Y3 asa nikafuta zile system app.
Nilifuta na dialer nimedownload dialer ingine inazngua haionyeshi incomming call wala outgoing call msaada mazee
 
msipende kujaribu vitu ili hali mnajua hamuna uwezo wa kununua tena simu zenu zikiharibia, naona watu wanakuja tena na maombi ya namna ya ku-unroot simu zao dah...nimecheka sana jameni...
 


mimi nina mashomallow but sina custom recovery naweza kuroot bila PC?
 
baada yaku root,. vipi kuitoa kwenye version Fulani kwenda kwenye kwingine. eleza njia zake
 
 
Mtaalam nimekutana neno 'network error ' kwenye open shida nini mkuu
 
nimetumia sana hizi rooting apps kama vile kingroot e.t.c kuroot Nokia 1 lakini wapi...nisaidieni mlifanikiwa mlitumia app ipi kuroot Nokia 1?
 
Mimi nahangaika na imfnix smart 2. Imetokea Kama maelezo your yanavyoeleza ila ikifika hapo KWENYE picha ya kwanza inagoma
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…