miles45
JF-Expert Member
- Jan 4, 2019
- 3,468
- 8,288
Hii ni mahususi kwa wanaume tulio oa .....siku zote nipende kusema ngono ni starehe tu kama starehe nyingine.
Kwa sisi ambao starehe yetu kubwa ni vidudu vya akina dada basi tumejikuta hii starehe usipo kua mjanja na akili nyingi hivyo itakudharirisha,itakulia muda wako, itakulia pesa zako au kukufirisi kabisa.
Hivyo basi kama ni mpenzi wa hii starehe inatakiwa uwe mjanja wa kucheza na hii starehe ili uweze kuifaidi.
Ni hivi kwenye kupunguza gharama za uchakataji inatakiwa utafute wazinzi wenzio watatu mnao Ivana.
Hivyo mnachanga bajeti na kutafuta chumba mnapanga, chumba kizuri kisiwe na mwenye nyumba hapohapo.
Hivyo mnalipia kodi na kununua vitu vya ndani kulingana na nyie na vipendo vyenu baada ya hapo mnagawana funguo.
Mnakuja kutengeneza group la wasp kwa ajiri ya taarifa kama upo site unatuma taarifa kuwa leo nipo na mtoto kutoka muda huu hadi huu.
Msisahau kila mtu anakua na mashuka yake.
Faida ya hii ni pale kama ulitumia elfu 20..40 za loji kwa tendo moja kama kwa wiki unachakata mara mbili hivyo ni elfu 80 kwa wiki.
Na kwa mwezi ni laki tatu na ishirini kama unaenda Loji za 20 kwa mwezi ni elfu 80 bado hela za misosi na nauli ya mtoto.
Kama chumba mtakua mmelipa miezi mitatu hivyo gharama za loji za miezi mitatu utakua umesevu na itakua imekurahisishia sana .
Hasara za hii project ni kuwakosesha mapato walio jenga loji
Faida utakua umesevu hela nyingi sana na utakua na privacy ya kutosha.
Nawatakia uchakataji mwema
Kwa sisi ambao starehe yetu kubwa ni vidudu vya akina dada basi tumejikuta hii starehe usipo kua mjanja na akili nyingi hivyo itakudharirisha,itakulia muda wako, itakulia pesa zako au kukufirisi kabisa.
Hivyo basi kama ni mpenzi wa hii starehe inatakiwa uwe mjanja wa kucheza na hii starehe ili uweze kuifaidi.
Ni hivi kwenye kupunguza gharama za uchakataji inatakiwa utafute wazinzi wenzio watatu mnao Ivana.
Hivyo mnachanga bajeti na kutafuta chumba mnapanga, chumba kizuri kisiwe na mwenye nyumba hapohapo.
Hivyo mnalipia kodi na kununua vitu vya ndani kulingana na nyie na vipendo vyenu baada ya hapo mnagawana funguo.
Mnakuja kutengeneza group la wasp kwa ajiri ya taarifa kama upo site unatuma taarifa kuwa leo nipo na mtoto kutoka muda huu hadi huu.
Msisahau kila mtu anakua na mashuka yake.
Faida ya hii ni pale kama ulitumia elfu 20..40 za loji kwa tendo moja kama kwa wiki unachakata mara mbili hivyo ni elfu 80 kwa wiki.
Na kwa mwezi ni laki tatu na ishirini kama unaenda Loji za 20 kwa mwezi ni elfu 80 bado hela za misosi na nauli ya mtoto.
Kama chumba mtakua mmelipa miezi mitatu hivyo gharama za loji za miezi mitatu utakua umesevu na itakua imekurahisishia sana .
Hasara za hii project ni kuwakosesha mapato walio jenga loji
Faida utakua umesevu hela nyingi sana na utakua na privacy ya kutosha.
Nawatakia uchakataji mwema