Kasomi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 11,036
- 20,337
Wakuu nimekuta sehemu nda humo jamaa anaomba ujuzi wa kupitia Michembe.
Hivyo nikaona nishee na nyinyi japo kwa uchache.
Jinsi ya kupika Michembe
1-Chukua Michembe inayo tosha kwa ajiri ya kupika, osha(Unaweza osha na maji ya vuguvugu/ya baridi).
Harafu ziache.
2-chemsha maji haya Ni kwaaji ya kupikia. Kisha weka kwenye chombo.
3-weka maji kwa kukadilia yatakayo tosha kupikia Kisha weka Michembe kwenye hayo maji na weka chumvi kidogo bandika.
4-funika kama unapika mboga utakua unaangalia maji yakioelea ongeza, hadi zitakapo iva.
5-Zikisha iva anza kupondaponda hadi ziwe laini Kisha opoa.
Hapo pishi lako la Michembe litakua Tayari.
Mwenye ujuzi Zaidi anaweza ongezea
Imeandikwa na Emmanuel Kasomi
Hivyo nikaona nishee na nyinyi japo kwa uchache.
Jinsi ya kupika Michembe
1-Chukua Michembe inayo tosha kwa ajiri ya kupika, osha(Unaweza osha na maji ya vuguvugu/ya baridi).
Harafu ziache.
2-chemsha maji haya Ni kwaaji ya kupikia. Kisha weka kwenye chombo.
3-weka maji kwa kukadilia yatakayo tosha kupikia Kisha weka Michembe kwenye hayo maji na weka chumvi kidogo bandika.
4-funika kama unapika mboga utakua unaangalia maji yakioelea ongeza, hadi zitakapo iva.
5-Zikisha iva anza kupondaponda hadi ziwe laini Kisha opoa.
Hapo pishi lako la Michembe litakua Tayari.
Mwenye ujuzi Zaidi anaweza ongezea
Imeandikwa na Emmanuel Kasomi