Jinsi ya kupata unlimited internet

Jinsi ya kupata unlimited internet

Ilisolokobwe

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
1,865
Reaction score
833
Nataka niwape dondoo kidogo namna ya kupata unlimited internet ya wiki/mwezi au hata mwaka
www.your-freedom.net
Your Freedom - ACCOUNT
Ingia kwenye website hiyo hapo juu jaza taarifa zako zote kama inavyoelezea,

Kisha nenda playstore download app inayoitwa Your Freedom,ukishadownload usiifungue kwanza,kumbuka kule nyuma kwenye link ya kwanza kuna sehemu uliingiza email yako,sasa ingia moja kwa moja kwenye email yako kama ni yahoo, Gmail au outlook kisha angalia msg iliyotoka your freedom kisha verify acc yako kwa kugonga link iliyomo kwenye email

Sasa rudi funga mailbox yako nenda kwenye app uliyoidownload playstore kisha ifungue sasa,itakuuliza kama unataka kujirejister utakataa unaenda kwenye login kisha unalogin kwa jina na password yako,Kumbuka kama username ulianza kwa herufi kubwa wakati unajisajili kule kwenye link,humu nako andika hivyo hivyo

Kisha app yako itafunguka nenda chini kulia kwenye configure kisha bonyeza utapata menu ndefu

Invia kwenye kipengele cha acc info kisha jaza username na password kisha nenda back bila kupiga ok wala nn,then shuka tena kidogo kwenye connection fungua then nenda hadi kipengele kilichoandikwa connection mode kisha badili kutoka http kwenda *dns*
Kisha rudi back,angalia sasa chini kushoto kuna mahali pameandikwa *Start connection* gonga hapo kisha itaona graph inaanza kwa chini kabisa kinjano flan kinaanza kujaaa ikifika mahali flan itaconect na ili kujua uko connected utaona alama ya [emoji1006] kwa juu kwenye screen yako

Utapata internet ya bure kwa lisaa lizima,kwa usajili wa kwanza,ingawaje haiko fasta sana kama ya kununua,

Kumbuka utatakiwa kuwasha data kawaida ila hata kama una bundle lako halitotumika funguo ikishaconect kwa juu.

[ *Nb*KILA UNAPOFUNGUA APP YA MY FREEDOM ITALETA KA POP UP MSG FLAN HIVI WEWE BONYEZA CANCEL THEN START CONNECTION
Hapo utakuwa unakula internet bure kabisa _______hatua ya pili,kununua vifurushi________

Utarudi nyuma sasa kwenye link yako na utalog in kwa credential zako then utabonyeza accounts pale juu kisha utaona vifurushi vyako pale,inashauriwa kununua japo kifurushi cha mobile plus na kuendelea ndo speed iko vizuri

Mfano mimi hapa natumia kifurushi ya £2 ambayo ni kama sh 5600 kwa mwezi
Utapaswa kuwa na MasterCard, visa card au paypal kununia kirurushi

Pindi tu unapokuwa umenunua kifurushi acc yako inakuwa recharged ndani ya dk 5 na ukirefresh page yako utaona kwa juu kisogo katikati maandishi kama ya kijivu yakionyesha unatumia kifurushi gani na kinaisha lini

Ukifuatilia maelezo yangu kwa makini hutokwama hata sehemu moja,
Changamoto niliyoiona wakati wa matumizi ya hii app ni connection kukatika tu hivyo kwa siku unaweza jikuta umebonya start connection zaid hata ya mara nane maana kuna wakati unashangaa sim iko idle kama lisaa ukiangalia kwann hupati internet unajikuta funguo imeondoka so inakulazimu kwenda kwenye app yako ya My freedom na kubonyeza start connection mara kwa mara, pindi unapobonya start connection inachukua hadi dk 5 kuwa connected.
Ni hayo tu
 
dns ni slow connection sana hata page kufungua page tu huwa ni shida mara ya kutumia hii vpn ni 2014.
 
Mkuu nina visa card ya benki ya nbc iyo hela uwa wanakata kwa staili gani maelezo kidogo hapo
 
Nataka niwape dondoo kidogo namna ya kupata unlimited internet ya wiki/mwezi au hata mwaka
www.your-freedom.net
Your Freedom - ACCOUNT
Ingia kwenye website hiyo hapo juu jaza taarifa zako zote kama inavyoelezea,

Kisha nenda playstore download app inayoitwa Your Freedom,ukishadownload usiifungue kwanza,kumbuka kule nyuma kwenye link ya kwanza kuna sehemu uliingiza email yako,sasa ingia moja kwa moja kwenye email yako kama ni yahoo, Gmail au outlook kisha angalia msg iliyotoka your freedom kisha verify acc yako kwa kugonga link iliyomo kwenye email

Sasa rudi funga mailbox yako nenda kwenye app uliyoidownload playstore kisha ifungue sasa,itakuuliza kama unataka kujirejister utakataa unaenda kwenye login kisha unalogin kwa jina na password yako,Kumbuka kama username ulianza kwa herufi kubwa wakati unajisajili kule kwenye link,humu nako andika hivyo hivyo

Kisha app yako itafunguka nenda chini kulia kwenye configure kisha bonyeza utapata menu ndefu

Invia kwenye kipengele cha acc info kisha jaza username na password kisha nenda back bila kupiga ok wala nn,then shuka tena kidogo kwenye connection fungua then nenda hadi kipengele kilichoandikwa connection mode kisha badili kutoka http kwenda *dns*
Kisha rudi back,angalia sasa chini kushoto kuna mahali pameandikwa *Start connection* gonga hapo kisha itaona graph inaanza kwa chini kabisa kinjano flan kinaanza kujaaa ikifika mahali flan itaconect na ili kujua uko connected utaona alama ya [emoji1006] kwa juu kwenye screen yako

Utapata internet ya bure kwa lisaa lizima,kwa usajili wa kwanza,ingawaje haiko fasta sana kama ya kununua,

Kumbuka utatakiwa kuwasha data kawaida ila hata kama una bundle lako halitotumika funguo ikishaconect kwa juu.

[ *Nb*KILA UNAPOFUNGUA APP YA MY FREEDOM ITALETA KA POP UP MSG FLAN HIVI WEWE BONYEZA CANCEL THEN START CONNECTION
Hapo utakuwa unakula internet bure kabisa _______hatua ya pili,kununua vifurushi________

Utarudi nyuma sasa kwenye link yako na utalog in kwa credential zako then utabonyeza accounts pale juu kisha utaona vifurushi vyako pale,inashauriwa kununua japo kifurushi cha mobile plus na kuendelea ndo speed iko vizuri

Mfano mimi hapa natumia kifurushi ya £2 ambayo ni kama sh 5600 kwa mwezi
Utapaswa kuwa na MasterCard, visa card au paypal kununia kirurushi

Pindi tu unapokuwa umenunua kifurushi acc yako inakuwa recharged ndani ya dk 5 na ukirefresh page yako utaona kwa juu kisogo katikati maandishi kama ya kijivu yakionyesha unatumia kifurushi gani na kinaisha lini

Ukifuatilia maelezo yangu kwa makini hutokwama hata sehemu moja,
Changamoto niliyoiona wakati wa matumizi ya hii app ni connection kukatika tu hivyo kwa siku unaweza jikuta umebonya start connection zaid hata ya mara nane maana kuna wakati unashangaa sim iko idle kama lisaa ukiangalia kwann hupati internet unajikuta funguo imeondoka so inakulazimu kwenda kwenye app yako ya My freedom na kubonyeza start connection mara kwa mara, pindi unapobonya start connection inachukua hadi dk 5 kuwa connected.
Ni hayo tu
niliitumia kwa miezi miwili kwa line ya halotel na ilikua vizuri nilishasahau bando za kupima, lkn sasa hivi naona halotel imegoma kabisa. Ni line gani nyingine inakubali?
 
Huyu aliyeleta humu ndie aliyefanya hilo bundle lisiwepoo.wabongo hamjui siri aisee wacha mlie na ugumu wa bundle shenziiiiii kabisa
 
  • Thanks
Reactions: sab
Huyu aliyeleta humu ndie aliyefanya hilo bundle lisiwepoo.wabongo hamjui siri aisee wacha mlie na ugumu wa bundle shenziiiiii kabisa
Wabongo huwa hatuna shukrani. Una mraumu jamaa, lakini angesema kuwa anayetaka aende inbox ungeenda?

Sio mngeishia kumuita Jamaa kuwa ni tapeli
 
Halotel washa patch loopholes zao kwa hii kitu, hata SlowDNS nayo inagoma sikuiz ku connect na DNS mode... Kudadeki sana..
 
Maelezo yote hayo issue yenyewe saa moja tu
 
Nataka niwape dondoo kidogo namna ya kupata unlimited internet ya wiki/mwezi au hata mwaka
www.your-freedom.net
Your Freedom - ACCOUNT
Ingia kwenye website hiyo hapo juu jaza taarifa zako zote kama inavyoelezea,

Kisha nenda playstore download app inayoitwa Your Freedom,ukishadownload usiifungue kwanza,kumbuka kule nyuma kwenye link ya kwanza kuna sehemu uliingiza email yako,sasa ingia moja kwa moja kwenye email yako kama ni yahoo, Gmail au outlook kisha angalia msg iliyotoka your freedom kisha verify acc yako kwa kugonga link iliyomo kwenye email

Sasa rudi funga mailbox yako nenda kwenye app uliyoidownload playstore kisha ifungue sasa,itakuuliza kama unataka kujirejister utakataa unaenda kwenye login kisha unalogin kwa jina na password yako,Kumbuka kama username ulianza kwa herufi kubwa wakati unajisajili kule kwenye link,humu nako andika hivyo hivyo

Kisha app yako itafunguka nenda chini kulia kwenye configure kisha bonyeza utapata menu ndefu

Invia kwenye kipengele cha acc info kisha jaza username na password kisha nenda back bila kupiga ok wala nn,then shuka tena kidogo kwenye connection fungua then nenda hadi kipengele kilichoandikwa connection mode kisha badili kutoka http kwenda *dns*
Kisha rudi back,angalia sasa chini kushoto kuna mahali pameandikwa *Start connection* gonga hapo kisha itaona graph inaanza kwa chini kabisa kinjano flan kinaanza kujaaa ikifika mahali flan itaconect na ili kujua uko connected utaona alama ya [emoji1006] kwa juu kwenye screen yako

Utapata internet ya bure kwa lisaa lizima,kwa usajili wa kwanza,ingawaje haiko fasta sana kama ya kununua,

Kumbuka utatakiwa kuwasha data kawaida ila hata kama una bundle lako halitotumika funguo ikishaconect kwa juu.

[ *Nb*KILA UNAPOFUNGUA APP YA MY FREEDOM ITALETA KA POP UP MSG FLAN HIVI WEWE BONYEZA CANCEL THEN START CONNECTION
Hapo utakuwa unakula internet bure kabisa _______hatua ya pili,kununua vifurushi________

Utarudi nyuma sasa kwenye link yako na utalog in kwa credential zako then utabonyeza accounts pale juu kisha utaona vifurushi vyako pale,inashauriwa kununua japo kifurushi cha mobile plus na kuendelea ndo speed iko vizuri

Mfano mimi hapa natumia kifurushi ya £2 ambayo ni kama sh 5600 kwa mwezi
Utapaswa kuwa na MasterCard, visa card au paypal kununia kirurushi

Pindi tu unapokuwa umenunua kifurushi acc yako inakuwa recharged ndani ya dk 5 na ukirefresh page yako utaona kwa juu kisogo katikati maandishi kama ya kijivu yakionyesha unatumia kifurushi gani na kinaisha lini

Ukifuatilia maelezo yangu kwa makini hutokwama hata sehemu moja,
Changamoto niliyoiona wakati wa matumizi ya hii app ni connection kukatika tu hivyo kwa siku unaweza jikuta umebonya start connection zaid hata ya mara nane maana kuna wakati unashangaa sim iko idle kama lisaa ukiangalia kwann hupati internet unajikuta funguo imeondoka so inakulazimu kwenda kwenye app yako ya My freedom na kubonyeza start connection mara kwa mara, pindi unapobonya start connection inachukua hadi dk 5 kuwa connected.
Ni hayo tu
usha tufelisha kaka
 
Maelezo meeeengi kisa bundle ambalo lipo slow..[emoji41].
 
Back
Top Bottom