Jinsi ya kupata mkopo

Jinsi ya kupata mkopo

Yogati

Member
Joined
Jan 1, 2013
Posts
14
Reaction score
1
Wanajamvi heshima kwenu, naombeni msaada wa mahali ninapoweza kupata mkopo usiohitaji zamana(security)tafazalini sana maana maji yanazidi unga ndugu zanguni
 
Njia ni hizi...
1.VODACOM
(a)Piga *150*05#
(b)Piga *149*01#>6,nipige tafu>utachagua kiasi ukitakacho.
2.TIGO
*149*05#
Airtel na Zantel endelea kutafuta msaada zaidi..Wapo wanaojua zaidi watakusaidia..
NB;
Hii mikopo ni mizuri kwani haihitaji dhamana yoyote..
 
Wanajamvi heshima kwenu, naombeni msaada wa mahali ninapoweza kupata mkopo usiohitaji zamana(security)tafazalini sana maana maji yanazidi unga ndugu zanguni
Kuna kukopa bila dhamana kweli? Hata hiyo mikopo ya tigo na voda kuna vigezo na masharti huzingatiwa. Nadhani ungetafuta mikopo ya masharti nafuu
 
Njia ni hizi...
1.VODACOM
(a)Piga *150*05#
(b)Piga *149*01#>6,nipige tafu>utachagua kiasi ukitakacho.
2.TIGO
*149*05#
Airtel na Zantel endelea kutafuta msaada zaidi..Wapo wanaojua zaidi watakusaidia..
NB;
Hii mikopo ni mizuri kwani haihitaji dhamana yoyote..
kiwango cha chini shingap?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom