M mgungani Member May 13, 2022 38 60 Sep 8, 2022 #1 Nimepoteza kadi origional ya gari yangu. Wadau naomba kujua jinsi ya kupata copy na gharama zake
Dodoma messengers JF-Expert Member Aug 28, 2019 484 776 Sep 8, 2022 #2 Waliowahi kukutwa na hiyo hali,watatusaidia
Nahonyo JF-Expert Member Dec 28, 2012 5,374 5,015 Sep 8, 2022 #3 Nenda TRA ukiwa na vitambulisho vyako, Watukupa mwongozo, na utapatiwa kadi nyingine. maana wanapotoa card, hubaki data kwenye mtandao.
Nenda TRA ukiwa na vitambulisho vyako, Watukupa mwongozo, na utapatiwa kadi nyingine. maana wanapotoa card, hubaki data kwenye mtandao.