M mgungani Member Joined May 13, 2022 Posts 38 Reaction score 61 Sep 8, 2022 #1 Nimepoteza kadi origional ya gari yangu. Wadau naomba kujua jinsi ya kupata copy na gharama zake
Dodoma messengers JF-Expert Member Joined Aug 28, 2019 Posts 612 Reaction score 958 Sep 8, 2022 #2 Waliowahi kukutwa na hiyo hali,watatusaidia
Nahonyo JF-Expert Member Joined Dec 28, 2012 Posts 5,690 Reaction score 5,566 Sep 8, 2022 #3 Nenda TRA ukiwa na vitambulisho vyako, Watukupa mwongozo, na utapatiwa kadi nyingine. maana wanapotoa card, hubaki data kwenye mtandao.
Nenda TRA ukiwa na vitambulisho vyako, Watukupa mwongozo, na utapatiwa kadi nyingine. maana wanapotoa card, hubaki data kwenye mtandao.