Wakuu habari za kushinda, naomba msaada wa maelekezo niweze kupata customized Rom kwenye simu aina ya samsung 4 na Samsung Note 3.. natanguliza shukrani zangu kwa yeyote atakayeweza kunipa msaada.
mkuu kama hujui unalofanya ni vyema ujifunze taratibu tu kuanzia kuroot, kueka custom recovery, mambo ya stock rom, aosp, official na un official rom etc ukikurupuka hivyo kuomba tu rom utakuja kubrick simu
Wakuu habari za kushinda, naomba msaada wa maelekezo niweze kupata customized Rom kwenye simu aina ya samsung 4 na Samsung Note 3.. natanguliza shukrani zangu kwa yeyote atakayeweza kunipa msaada.
Wakuu habari za kushinda, naomba msaada wa maelekezo niweze kupata customized Rom kwenye simu aina ya samsung 4 na Samsung Note 3.. natanguliza shukrani zangu kwa yeyote atakayeweza kunipa msaada.
mkuu kama hujui unalofanya ni vyema ujifunze taratibu tu kuanzia kuroot, kueka custom recovery, mambo ya stock rom, aosp, official na un official rom etc ukikurupuka hivyo kuomba tu rom utakuja kubrick simu