Jinsi ya kuondoa "hello world" virus katika android phone

Sodoku

JF-Expert Member
Feb 3, 2016
1,095
2,429
simu yangu imevamiwa na virus ambaye kila baada ya sekunde au dk kadhaa inatokea text kwenye screen yenye maneno "hello world" imekuwa inasumbua maana popote ulipo inatokea na kuficha kile ulichokuwa unafanya mpaka urudi back ndo uendelee ambapo tena after some few sec hayo maneno yanatokea tena.

je kuna mtu anafaham namna ya kuondoa huyu virus? tushirikishane please .... kati ya watu ambao wamekuwa na mchango katika mambo ya IT ni pamoja na CHIEF MKWAWA naomba nimkaribishe na wengine pia bila kusita.
 
simu yangu imevamiwa na virus ambaye kila baada ya sekunde au dk kadhaa inatokea text kwenye screen yenye maneno "hello world" imekuwa inasumbua maana popote ulipo inatokea na kuficha kile ulichokuwa unafanya mpaka urudi back ndo uendelee ambapo tena after some few sec hayo maneno yanatokea tena.

je kuna mtu anafaham namna ya kuondoa huyu virus? tushirikishane please .... kati ya watu ambao wamekuwa na mchango katika mambo ya IT ni pamoja na CHIEF MKWAWA naomba nimkaribishe na wengine pia bila kusita.
pole
 
simu yangu imevamiwa na virus ambaye kila baada ya sekunde au dk kadhaa inatokea text kwenye screen yenye maneno "hello world" imekuwa inasumbua maana popote ulipo inatokea na kuficha kile ulichokuwa unafanya mpaka urudi back ndo uendelee ambapo tena after some few sec hayo maneno yanatokea tena.

je kuna mtu anafaham namna ya kuondoa huyu virus? tushirikishane please .... kati ya watu ambao wamekuwa na mchango katika mambo ya IT ni pamoja na CHIEF MKWAWA naomba nimkaribishe na wengine pia bila kusita.
Na yangu pia imekuwa hivyo nimezima kama nusu saa nimewasha sioni hebu nawe jaribu uone
 
ok. niliondoa apps zote kwenye simu nikaacha zile tu ambazo ni default. from there sijaona tena hiyo text. ilikuwa inasumbua inakwaza sana.
Na yangu pia imekuwa hivyo nimezima kama nusu saa nimewasha sioni hebu nawe jaribu uone
 
Back
Top Bottom