Tony Yeyo
JF-Expert Member
- Mar 10, 2014
- 733
- 567
Jamaa yangu kaniambia ukitaka kupata gari kwa bei rahisi wape kazi wale Jamaa wanaowinda dili za magari mtandaoni
Jamaa anasema hao Jamaa unawapa sifa za aina ya Gari unayoitaka wao wanakutafutia kupitia haya makampun ya magari (befoward)
Wakishapata hilo gari utatumiwa invoice ukalipie benki
Kwa njia hiyo anasema unapata gari kwa bei rahisi, hao majamaa wewe utawapoza hela kidogo baada ya gari kupatikana
Alinunua Nissan dualis kwa millioni 16 mpaka inatoka bandarini
Je, kuna ukweli hapo?
Jamaa anasema hao Jamaa unawapa sifa za aina ya Gari unayoitaka wao wanakutafutia kupitia haya makampun ya magari (befoward)
Wakishapata hilo gari utatumiwa invoice ukalipie benki
Kwa njia hiyo anasema unapata gari kwa bei rahisi, hao majamaa wewe utawapoza hela kidogo baada ya gari kupatikana
Alinunua Nissan dualis kwa millioni 16 mpaka inatoka bandarini
Je, kuna ukweli hapo?