Kama una uwezo hata kidogo wa kijisomesha achana na loan board .. kaa nayo mbali kabisa.Habari Waungwana..Naomba kuuliza jinsi ya kulipia hizo Asilimia 25 kwa bodi ya mikopo kwa mnufaika wa mkopo aliyesitisha masomo miaka ya nyuma.Asante
Kama upo dar nenda tazara pale watakupa mwongozo,kama upo mbali au busy ingi www.heslb.go.tz nend kwenye contact kuna namba zao wacheki
-ukimaliza naweza kukusaidia kufanya application tena
Wanapata maana i had friends walidisco chuo wakiwa na mkopo so wakalipa hilo deni waomba chuo upya na mkopo upya kozi za engineering wakapata vyote 80% mkopokuna wanaolipa iyo 25% na wakapata tenaaa mkopo au ndo inakula kwao.
Ulifanikiwa kupata?Ok Asante kwa info.