Buggy JF-Expert Member Joined Oct 30, 2010 Posts 236 Reaction score 61 Feb 4, 2013 #1 Kuna anayeweza nisaidia kunielewesha jinsi ya kujiunga na huduma ya Android kupitia mtandao wa Airtel?
Kuna anayeweza nisaidia kunielewesha jinsi ya kujiunga na huduma ya Android kupitia mtandao wa Airtel?
deogan JF-Expert Member Joined Sep 7, 2011 Posts 399 Reaction score 46 Feb 4, 2013 #2 Nunua simu yako ya android(gsm/edge/wcdma3G, weka line yako ya Airtel, washa simu. Hapo utakuwa umepata mtandao wa Airtel na huduma zake zote. Hahaha!
Nunua simu yako ya android(gsm/edge/wcdma3G, weka line yako ya Airtel, washa simu. Hapo utakuwa umepata mtandao wa Airtel na huduma zake zote. Hahaha!