Jinsi ya kujiondoa NMB mobile

Jinsi ya kujiondoa NMB mobile

Nifanyaje ili kujiondoa NMB mobile? , hii huduma siitaki tena naona napigwa sana makato ni bora niwe naenda kwenye ATM tu.
Nenda NMB tawi lolote lililokaribu na wewe utapata utaratibi namna ya kujiondoa nadhani kama sikosei kuna fomu utajaza

Kila la heri na pole kwa yaliyokukuta mkuu
 
Ulijiungaje na hiyo huduma mkuu? Kama vipi nenda bank kajaze fomu ya kujitoa.
 
Nifanyaje ili kujiondoa NMB mobile? , hii huduma siitaki tena naona napigwa sana makato ni bora niwe naenda kwenye ATM tu.
Nenda NMB tawi lolote lililokaribu na wewe utapata utaratibi namna ya kujiondoa nadhani kama sikosei kuna fomu utajaza

Kila la heri na pole kwa yaliyokukuta mkuu
 
Nifanyaje ili kujiondoa NMB mobile? , hii huduma siitaki tena naona napigwa sana makato ni bora niwe naenda kwenye ATM tu.
Nenda benki watakutoa au renew line. Angalia option rahisi kati ya hzo.
 
Nenda kwenye ÀTM ya NMB kuna huduma ya kujitoa.
 
Very Right. Ila mkumbushe pia kama ni Mtumishi wa Serikali basi hudumu ya Advance Salary ndio hata ipata tena
Nenda kwenye ATM
Chomeka kadi
Chagua NMB Mobile (inakuwa chini, upande wa kulia)
Chagua Deactivate Number
Ingiza Password ya NMB Mobile (sio password ya ATM)
Utapata msg kwenye namba yako kuwa umefanikiwa kujiondoa.
 
Very Right. Ila mkumbushe pia kama ni Mtumishi wa Serikali basi hudumu ya Advance Salary ndio hata ipata tena
Yeah! Mimi ni mtumishi wa serikali mkuu
 
Yeah! Mimi ni mtumishi wa serikali mkuu
Kama wewe ni mtumishi njaaa hutaweza Tena kukopa salary advance labda uwe unakwenda kujaza fomu kila utakapohitaji hiyo huduma,

Mkuu inasema unakatwa Makato makubwa, je unakatwaje au mkuu unabeti Sana kwahiyo unahamisha salio kila Mara ili ulipie mkekaa
 
Kama wewe ni mtumishi njaaa hutaweza Tena kukopa salary advance labda uwe unakwenda kujaza fomu kila utakapohitaji hiyo huduma,

Mkuu inasema unakatwa Makato makubwa, je unakatwaje au mkuu unabeti Sana kwahiyo unahamisha salio kila Mara ili ulipie mkekaa
huo ndio ukweli na man city jana kondoka na mkeka wa laki na nusu sasa naacha huu upuuzi
 
Back
Top Bottom