Jinsi ya kuhacked accaunt

Jinsi ya kuhacked accaunt

Wa nyamadyaki

JF-Expert Member
Joined
Mar 6, 2013
Posts
1,178
Reaction score
529
Wataalamu naomba kujua jinsi ya kuhack accaunt kwenye mtandao wa facebook ni kwania njema tu.
 
Kama unajua user name ya huyo mtu mwenye account unataka kuhack ingiza hiyo email kama vile unataka kusign in ukishaingiza email nenda mahala pameandikwa kama umesahau pasword bonyeza itakuletea option ya either kuingiza number ya simu or email ingiza number yako ya ya simu watakutumia password
 
Kama unajua user name ya huyo mtu mwenye account unataka kuhack ingiza hiyo email kama vile unataka kusign in ukishaingiza email nenda mahala pameandikwa kama umesahau pasword bonyeza itakuletea option ya either kuingiza number ya simu or email ingiza number yako ya ya simu watakutumia password

Ngoja nijaribu mkuu, nitaleta matokeo.
 
Mkuu kwenye simu umeshindwa kufanikiwa sasa umehamia kwenye facebook account! teh teh teh teh teh teh teeeeeeeh!
 
Wacha ni pekue pekue vijitabu nlivyo navyo hapa kisha ntakujaza baadaye kidogo tu,hata usiende mbali.
 
Kama unajua user name ya huyo mtu mwenye account unataka kuhack ingiza hiyo email kama vile unataka kusign in ukishaingiza email nenda mahala pameandikwa kama umesahau pasword bonyeza itakuletea option ya either kuingiza number ya simu or email ingiza number yako ya ya simu watakutumia password

haha Simple Kiasi hicho Sio Kweli...
 
Hamna haitafaa kwasababu hiyo namba unayoulizwa uingize ni namba ya mwenye username kwasababu unapofungua account yako ya facebook unafunguwa na emai yako kwenye kujaza form na namba yako unaiweka hapo. Namba utakayoulizwa ni ya user so ukiweka yako itakataa kwasababu haitambuliki
 
Hamna haitafaa kwasababu hiyo namba unayoulizwa uingize ni namba ya mwenye username kwasababu unapofungua account yako ya facebook unafunguwa na emai yako kwenye kujaza form na namba yako unaiweka hapo. Namba utakayoulizwa ni ya user so ukiweka yako itakataa kwasababu haitambuliki

Huko sahihi,
 
Mi simu langu nikikuazima tu hadi pin zako za mpesa napata.
 
Topic: Jinsi ya kuhacked accaunt
.
Kwa mtu anaetumia namba ya simu sio rahisi kiasi hicho.....
.
Ila kama lengo lako nikuingia tu kwenye account ya mwenzio na kushangaa shangaa tu basi tumia COOKIE STEALERS.......
.
Ila kwa ushauli wangu we jifunze ku hack email ukiweza umemaliza mchezoo
.
.
 
Back
Top Bottom