Niliwahi ambai na mtalaamu kwamba Dagaa wanataka kina kirefu sana, sasa hilo bwawa lako hakikisha lina kina kirefu balaaa, kwenye kina kifupi huwezi wakuta kamwe,
Wale dagaa unao waona kama wa Ziwa Victoria si kwamba wana miezi miwili au mitatu hapana wengine wana miaka hata 6, yaani ndo walivyo hawakui zaidi ya pale
Sent using
Jamii Forums mobile app