Habari wadau, Nimejaribu kufanya rooting ya tecno K7 lkn anaona inafeli. Naombeni msaada nifanye nn au nitumie app ipi maana simu yangu imekuwa kero kwan kila wakati application zinastop responding hadi inakuwa kero.
Habari wadau, Nimejaribu kufanya rooting ya tecno K7 lkn anaona inafeli. Naombeni msaada nifanye nn au nitumie app ipi maana simu yangu imekuwa kero kwan kila wakati application zinastop responding hadi inakuwa kero.
Habari wadau, Nimejaribu kufanya rooting ya tecno K7 lkn anaona inafeli. Naombeni msaada nifanye nn au nitumie app ipi maana simu yangu imekuwa kero kwan kila wakati application zinastop responding hadi inakuwa kero.
Apps kustop kurespond ni shida ya software...rooting haitasaidia cha kufanya flash kwanza simu yako na stock ROM yake kisha rooting itafuata baadae. Kumbuka hakuna app ya kuroot android 6, 7, 8 na kuendelea ila kuna njia za panya za kufanya hayo tuchekiane nikusaidie