LUBEDE
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 4,322
- 6,694
1.Oga maji ya baridi kisha ingia chumbani,
2.Zima Tv&Redio ili upate utulivu zaidi,
3.Kaa/lala kitandani,
4.Vaa under wear,kisha funika kifua chako na shuka..
5.Chukua Biblia soma Yohna3:3------
6.Funika Biblia yako omba na ulale.
Fanya hivyo kila siku sababu Yesu ni mwema.
Asante kwa muda wako.
Kama nisingetumia neno MAPENZI Ungepuuzia ujumbe huu,
sitaki uikose mbingu,Mungu anakupenda sana.
Tafadhali Sema ''AMINA''🙏🙏🙏🙏
2.Zima Tv&Redio ili upate utulivu zaidi,
3.Kaa/lala kitandani,
4.Vaa under wear,kisha funika kifua chako na shuka..
5.Chukua Biblia soma Yohna3:3------
6.Funika Biblia yako omba na ulale.
Fanya hivyo kila siku sababu Yesu ni mwema.
Asante kwa muda wako.
Kama nisingetumia neno MAPENZI Ungepuuzia ujumbe huu,
sitaki uikose mbingu,Mungu anakupenda sana.
Tafadhali Sema ''AMINA''🙏🙏🙏🙏

