Battery low
JF-Expert Member
- Apr 3, 2014
- 315
- 27
Sim yangu inaishia kwenye maandshi ya tecno katika kuwaka then nimejaribu kurestor kwa kutumia power botton na volume down lakin yanakuja maneno y kichna(siyaelew) kwa anae elewa anijuze tafadhali,natanguliza shukran