Jinsi ya ku unlock vodafone mobile broadband

dudukila

Senior Member
Joined
Jun 20, 2015
Posts
134
Reaction score
37
Naomba msaada wa ku unlock vodafone modem model k3570-z
 
Hili sio jukwaa husika! la hizo mambo!
 
Kwan hapa ni jukwaa gan wazee mbona munanichanganya
 
Kwan hapa ni jukwaa gan wazee mbona munanichanganya
pengine anamaanisha thread, zipo thread za ku unlock simu/modem ukienda huko utasaidiwa na pia kuna taarifa muhimu unatakiwa uzieke kama vile ukieka line ya mtandao mwengine unapata taarifa gani?
 
Poa naomba munisaidie bas kama inawezekana
 
pengine anamaanisha thread, zipo thread za ku unlock simu/modem ukienda huko utasaidiwa na pia kuna taarifa muhimu unatakiwa uzieke kama vile ukieka line ya mtandao mwengine unapata taarifa gani?
hello, nina simu aina ya LG ya lain moja. Shida nikiweka laini inaniambia 'out of service area' unaweza kunisaidia?
 
Imetoka marekani, nimejaribu zote bado inaniambia out of area
cha muhimu hapo ujue huko marekani ilikuwa inatumika mtandao gani, maarufu zaidi ni AT&T, Verizon, sprint na T-mobile. ukishaujua then Google Namna ya ku unlock au peleka kwa wanao unlock watakupa gharama zake.
 
cha muhimu hapo ujue huko marekani ilikuwa inatumika mtandao gani, maarufu zaidi ni AT&T, Verizon, sprint na T-mobile. ukishaujua then Google Namna ya ku unlock au peleka kwa wanao unlock watakupa gharama zake.
ilikua inatumia sprint. Naanzaje mkuu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…