Tairus
JF-Expert Member
- Mar 13, 2013
- 676
- 1,055
Kwa wale waliopitia na wanaoendelea kufanya mitiani ya bodi mnafahamu hivi vitambulisho vinavyotumika.
Sasa ukiangalia msimamizi anakagua picha ya kitambulisho na kuona kama inafanana na mtahiniwa kwa kumuangalia usoni alafu ndio anamruhusu aingie.
Fikiria kama ukiamua kubadili ile picha tuu na kuweka ya mtu unaetaka akufanyie mtihani kazi imeisha.
Nadhani ifike wakati system hii ibadilike na kama hilo haliwezekani basi kuwepo na picha za wahusika wakati wanaingia mlangoni ambazo msisimizi atahakiki na kujiridhisha na ya kwenye kitambulisho.
Tairus.
You may not start conversation with the following recipient;Tairus
Sasa ukiangalia msimamizi anakagua picha ya kitambulisho na kuona kama inafanana na mtahiniwa kwa kumuangalia usoni alafu ndio anamruhusu aingie.
Fikiria kama ukiamua kubadili ile picha tuu na kuweka ya mtu unaetaka akufanyie mtihani kazi imeisha.
Nadhani ifike wakati system hii ibadilike na kama hilo haliwezekani basi kuwepo na picha za wahusika wakati wanaingia mlangoni ambazo msisimizi atahakiki na kujiridhisha na ya kwenye kitambulisho.
Tairus.
You may not start conversation with the following recipient;Tairus