fahad_salum
Member
- Feb 12, 2018
- 22
- 25
Moja kati ya faida kubwa ambayo CCM inajivunia basi ni kuwa na Taifa lenye ujinga mwingi, watu ambao sio wasomi na umaskini
TAIFA LA WAJINGA
Hapa nasema kwa kuangalia idadi kubwa ya raia hasa kwenye vijiji vya ndani ndani.Nchi ya ahadi hii, ukitaka cheo basi toa ahadi ambayo hatakama huwezi ukaitatua watu watakuchagua.Nashukuru mungu mambo yameanza kubadilika kabisa,watu wameanza kwenda shule lakini tatizo bado lipo kwenye kushadidia Ahadi zisizo na msingi
Kwa taifa kama Tanzania ahadi wananchi tushazichoka tunasubiria vitendo tu.Kwanini ziwe ahadi? Mpaka lini? Kwanini usiwe vitendo?
1: Tumeahidiwa Mil 50 kila kijiji ziko wapi? Kwanini utoe ahadi wakati huwezi ukaifanikisha? Tumechoka N ahadi
2: Viwanda vimejengwa vingapi?
Kwanini ahadi? Ifike stage kila kiongozi anayetaka kupata Cheo basi atoe hoja za kivipi tunaweza tatua changamoto tulizonanazo lakini si ahadi tumechoka
TAIFA MASKINI
Tupo dunia ya 3 kiuchumi. Wananchi wengi wanaishi kwa kutumia chini ya dola kwa siku huu ni umaskini mkubwa.Nasema umaskini unahusika kwa sababu wananchi wengi huishia kupewa kanga za bure, kofia, mashati ya bure na kugawa kura bila haki.Tunadidimia
Tanzania yangu inakila madini, vyanzo vya maji, mbuga za Wanyamapori kwanini bado tupo nyuma hivi?
Kwanini tupo nyuma? Kwanini isiwe ahadi iwe vitendo tu? Hivi ni wapi tumeshindwa? Au ni wapi tumekosea?
Viongozi wanabidi waje na hoja madhubuti ili kuleta mikakati bora ya maendeleo yetu lakini si ahadi tena.Tukiendelea na ahadi tutabaki miaka yote nyuma pasipo kupiga hatua yoyote kwenda mbele.
Kuna sehemu tumekosea in fact tunajidharirisha watanzania.Tuna mali zote hizi bado tupo nyuma tu tunajidharirisha
Usinambie Tanzania tuna maadui kumi wakati tuna maadui wa tatu tu
Umaskini
Ujinga
Maradhi
TAIFA LA WAJINGA
Hapa nasema kwa kuangalia idadi kubwa ya raia hasa kwenye vijiji vya ndani ndani.Nchi ya ahadi hii, ukitaka cheo basi toa ahadi ambayo hatakama huwezi ukaitatua watu watakuchagua.Nashukuru mungu mambo yameanza kubadilika kabisa,watu wameanza kwenda shule lakini tatizo bado lipo kwenye kushadidia Ahadi zisizo na msingi
Kwa taifa kama Tanzania ahadi wananchi tushazichoka tunasubiria vitendo tu.Kwanini ziwe ahadi? Mpaka lini? Kwanini usiwe vitendo?
1: Tumeahidiwa Mil 50 kila kijiji ziko wapi? Kwanini utoe ahadi wakati huwezi ukaifanikisha? Tumechoka N ahadi
2: Viwanda vimejengwa vingapi?
Kwanini ahadi? Ifike stage kila kiongozi anayetaka kupata Cheo basi atoe hoja za kivipi tunaweza tatua changamoto tulizonanazo lakini si ahadi tumechoka
TAIFA MASKINI
Tupo dunia ya 3 kiuchumi. Wananchi wengi wanaishi kwa kutumia chini ya dola kwa siku huu ni umaskini mkubwa.Nasema umaskini unahusika kwa sababu wananchi wengi huishia kupewa kanga za bure, kofia, mashati ya bure na kugawa kura bila haki.Tunadidimia
Tanzania yangu inakila madini, vyanzo vya maji, mbuga za Wanyamapori kwanini bado tupo nyuma hivi?
Kwanini tupo nyuma? Kwanini isiwe ahadi iwe vitendo tu? Hivi ni wapi tumeshindwa? Au ni wapi tumekosea?
Viongozi wanabidi waje na hoja madhubuti ili kuleta mikakati bora ya maendeleo yetu lakini si ahadi tena.Tukiendelea na ahadi tutabaki miaka yote nyuma pasipo kupiga hatua yoyote kwenda mbele.
Kuna sehemu tumekosea in fact tunajidharirisha watanzania.Tuna mali zote hizi bado tupo nyuma tu tunajidharirisha
Usinambie Tanzania tuna maadui kumi wakati tuna maadui wa tatu tu
Umaskini
Ujinga
Maradhi