MfalmewaKiha
JF-Expert Member
- Feb 16, 2017
- 1,191
- 1,231
Heshima kwenu
Poleni kwa majukumu ya kila siku,
Nafurahi kuona uzima upo kwako hasa kipindi hiki Cha hatari ya magojwa mengi, wewe u mzima.
Naomba nijikite kwenye mada moja kwa moja.
Ndugu zanguni kimaisha huwa hatuwezi kufanan wote tukawa sawa, kisura, kifedha/kiuchumi nk. Pamoja na hayo yote Ukifanya tathimini utagungua kwamba nchi ya Afrika Kusini iko vizuri kiuchumi, yani kimaendeleo wamejitahidi sana.
Kwa hatua hiyo imesababisha watu wengi kutamani kwenda huko kujitafutia riziki zao ili maisha yasonge mbele. Ingawa pia nchi hyo ina mambo mengi na vituko vingi tena vibaya wanavyofanyiwa wageni lakini bado Waafrica wengi wanatamani kutia miguu tu.
Binafsi nilifanikiwa kumpata mchumba wa kike ambae yuko jiji la Durban, tutapeana namba ni mwaka 3 sasa tangu tumefahamiana. Zaidi anatamani niende ili kama vipi tuoane. Mwaka wa jana alikuja kunitembelea, tuliongea mengi, ni mtu mzima, mzuri ila kifuani mhhhh noma.
Pamoja na hayo yote moyo wangu bado unasita hasa ninaposikia matendo wanayofanyiwa wageni.
Ndugu zangu nifanyeje?
Kila ninapo soma nyuzi za JF kuhusu huko ni matatizo "Ingawa wengi wanaumiza kichwa ili wafike.
Jamani Durban pako vipi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Poleni kwa majukumu ya kila siku,
Nafurahi kuona uzima upo kwako hasa kipindi hiki Cha hatari ya magojwa mengi, wewe u mzima.
Naomba nijikite kwenye mada moja kwa moja.
Ndugu zanguni kimaisha huwa hatuwezi kufanan wote tukawa sawa, kisura, kifedha/kiuchumi nk. Pamoja na hayo yote Ukifanya tathimini utagungua kwamba nchi ya Afrika Kusini iko vizuri kiuchumi, yani kimaendeleo wamejitahidi sana.
Kwa hatua hiyo imesababisha watu wengi kutamani kwenda huko kujitafutia riziki zao ili maisha yasonge mbele. Ingawa pia nchi hyo ina mambo mengi na vituko vingi tena vibaya wanavyofanyiwa wageni lakini bado Waafrica wengi wanatamani kutia miguu tu.
Binafsi nilifanikiwa kumpata mchumba wa kike ambae yuko jiji la Durban, tutapeana namba ni mwaka 3 sasa tangu tumefahamiana. Zaidi anatamani niende ili kama vipi tuoane. Mwaka wa jana alikuja kunitembelea, tuliongea mengi, ni mtu mzima, mzuri ila kifuani mhhhh noma.
Pamoja na hayo yote moyo wangu bado unasita hasa ninaposikia matendo wanayofanyiwa wageni.
Ndugu zangu nifanyeje?
Kila ninapo soma nyuzi za JF kuhusu huko ni matatizo "Ingawa wengi wanaumiza kichwa ili wafike.
Jamani Durban pako vipi?
Sent using Jamii Forums mobile app