Jinsi suala la bandari linavyoidhalilisha na kuichafua LHRC

Una matatizo kichwani au unafanya makusudi ili kulinda shughuli zako za rangi saba za msingi
 
Afadhali ya wao wana kazi ya kujifichia kuliko wewe mdangaji wa mwembetogwa
 
Wewe ndiyo fala kabisa
Kama Rais katukanwa kwa nini akina Dr Slaa wasifunguliwe kesi za kashfa kwa Rais?
Lisu aliyesema Rais ana akili za matope mbona haijakamatwa?
Unajua maana ya kuipundua serikali?
Hacha uchawa mtoto wa kiume wewe
Unajuaje kama ni mtoto wa kiume?
 
Umesahau kuweka namba ya simu!Muda wowote kwanzia hivi sasa utachaguliwa kuwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya. ILEMELA
 
Jana Prof Kitila alihojiwa na BBC ile english sijui Watanzania tumerogwa na nani?

Ila alikuwa na hoja nzuri na za Msingi sana
Alipobanwa maswali alisingizia kuwa wameshauriwa na wanasheria wa serekali. Lakini mwanasheria mkuu wa serekali hajawahi kutoka hadharani na kutetea kwa hoja za kisheria vifungu vyenye utata. Niliona Kitila anajikanyaga tu na hakuwa na confidence.
 
Hoja ya msingi ni bandari, tusi kama lipo haliwezi kumfanya aunge mkono u inafsishaji wa bandari kama una kasoro.
 
Maisha ya kutofanya siasa watu walikua washayazoea sa kwann mmeruhusu siasa afu mnataka pangia watu nn chakuongea

Kukosoa ni kukosaoa tu kwann unataka ukosolewe kwa lugha ya kubembelezwa wacha watu wakosoe kwa lugha na maneno wanayoweza sio kuwapangia wakosoe vp
 
Maisha ya kutofanya siasa watu walikua washayazoea sa kwann mmeruhusu siasa afu mnataka pangia watu nn chakuongea

Kukosoa ni kukosaoa tu kwann unataka ukosolewe kwa lugha ya kubembelezwa wacha watu wakosoe kwa lugha na maneno wanayoweza sio kuwapangia wakosoe vp

Mnataka siasa wakat ukomavu hamna
 
Mahakama hizo hizo ndio zilipewa maagizo ya kumkomoa hapo awali kwa kimgjf kwahiyo hakuna chochote utaongea ili tuamini kuwa hizo mahakama zinaweza kutenda haki kwa wapinzani.
basi hamie Burundi km hakuna chombo chochote cha dola mnaweza kuiamini. Nyie ni watu gani hamuwezi kuongozwa, basi mtakuwa mazuzu fulani tafuteni pa kuishi mjitenge nasi tunaoamini vyombo vyetu vya dola
 
Nimeona matusi na jazba zaidi kuliko hoja ulizotaka kuleta hapa. Hiki kiburi Chenu kitaiisha kwa machafuko ama mapinduzi ya kijeshi.
ila wee jamaa huwa unafurahisha sana, ni kijana mzuri wa kunogesha story za kijiwe cha JF mazuzu.
 
Ukiona watu wanatetea ushoga na wahaini kwa nguvu zote basi ujue kesho watawatetea wauza madawa ya kulevya na wabakaji.
 
Reactions: Tui
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…