Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 11,626
- 22,004
Sasa wewe Mcheza Rede, Kwani Liverpool na wao walilalamika kuwa wamecheza dakika 120 na Flamengo kabla ya kukutana na Leicester City?
Au dakika za Leicester tu ndiyo zinachokesha?
Basi wacha tu-assume wewe una akili kuliko hao waingereza waliopanga hiyo ratiba. Ina maana kabla ligi haijaanza walishajua Liver, leicester na Man city watakuwa kwenye nafasi tatu za juu?Baada ya Wolves kumshinda Man City Jana, Liverpool ndio atacheza na Wolves
Liverpool sio tu kuwa kapata nafasi ya kumsoma kiwango cha Wolves dhidi ya timu kubwa, bali pia atapambana na Wolves ambayo imejichokea baada ya mechi nzito dhidi ya City
Na hili sip tu kwa Wolves, kabla ya hapo
Man City vs Leicester, kisha Liver vs Leicester
Leicester City baada ya kucheza mechi nzito na Man City, alipangwa kukutana na Liverpool ambayo ilimshindilia goli nne kwa bila,
Liver alimsoma Leicester udhaifu na uimara wake dhidi ya City na kuutumia, pia alimkuta Leicester kajichokea sababu ya mchaka mchaka wa City
Mechi zinazofuata
Ni Man City vs Sheffield, kisha Liverpool vs Sheffield
Hapa baada ya mechi na Wolves, City atakutana na Sheffield United, itakuwa mechi ya kukata na shoka, sababu Sheffield wapo kwenye form nzuri, pia Vity hatokubali kupoteza mechi ya pili mfululizo
Baada ya Sheffield kupambana vikali na kujeruhiana na Man City, then mechi inayofuata baada ya siku 2 anakutana na Liverpool ambaye anakuwa keshamsoma udhaifu na uimara wa kikosi kwa kipindi cha sasa, anamshindilia goli kirahisi
Hii ratiba ipo hivi kipindi hiki cha sikuukuu ambacho mechi zinakuwa zimebanana na wachezaji kuchoka, ni kipindi muhimu sana kwenye kuamua mshindi wa ligi
Je hii ni coincidence tu au ni makusudi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtakuwa mabingwa wa EPL msimu huu hilo probability yake ni 80% as of now. Kilichoanza kuzungumziwa now ni je mtaweza kuivunja rekodi ya Gunners??Mwaka juzi wakati Pep anachukua ubingwa kwa gap la point nyingi, tulilalamika kuhusu magoli ya offsides, soft penalties nk.
So, sishangai malalamiko dhidi ya Liverpool.
Fergie tulishamlalamikia, Barca tulishawalalamikia.
Ni nature ya binadamu akishindwa anatafuta sababu ya kumpa faraja.
Liverpool washachukua epl mkuu
City washachoka vibaya mno, hawana nguvu kabisa, wamelegea aisee
Hio ratiba haina effect yeyote, n chuki zako tu kwa liverpool
Pole
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtakuwa mabingwa wa EPL msimu huu hilo probability yake ni 80% as of now. Kilichoanza kuzungumziwa now ni je mtaweza kuivunja rekodi ya Gunners??
😂😂😂Mleta uzi umelewa, leta point za Msingi!
Liverpool Liverpool Liverpool
Bingwa
Hutaki kajinyonge kuanzia miguuni
Sent using Jamii Forums mobile app
Liver bingwa mingine porojo sema mi naombea wafungwe mechi moja rekodi yetu ya arsenal iendelee kuwa palepale.
Wolves watawafunga Liverpool... usini-TAGBaada ya Wolves kumshinda Man City Jana, Liverpool ndio atacheza na Wolves
Liverpool sio tu kuwa kapata nafasi ya kumsoma kiwango cha Wolves dhidi ya timu kubwa, bali pia atapambana na Wolves ambayo imejichokea baada ya mechi nzito dhidi ya City
Na hili sip tu kwa Wolves, kabla ya hapo
Man City vs Leicester, kisha Liver vs Leicester
Leicester City baada ya kucheza mechi nzito na Man City, alipangwa kukutana na Liverpool ambayo ilimshindilia goli nne kwa bila,
Liver alimsoma Leicester udhaifu na uimara wake dhidi ya City na kuutumia, pia alimkuta Leicester kajichokea sababu ya mchaka mchaka wa City
Mechi zinazofuata
Ni Man City vs Sheffield, kisha Liverpool vs Sheffield
Hapa baada ya mechi na Wolves, City atakutana na Sheffield United, itakuwa mechi ya kukata na shoka, sababu Sheffield wapo kwenye form nzuri, pia Vity hatokubali kupoteza mechi ya pili mfululizo
Baada ya Sheffield kupambana vikali na kujeruhiana na Man City, then mechi inayofuata baada ya siku 2 anakutana na Liverpool ambaye anakuwa keshamsoma udhaifu na uimara wa kikosi kwa kipindi cha sasa, anamshindilia goli kirahisi
Hii ratiba ipo hivi kipindi hiki cha sikuukuu ambacho mechi zinakuwa zimebanana na wachezaji kuchoka, ni kipindi muhimu sana kwenye kuamua mshindi wa ligi
Je hii ni coincidence tu au ni makusudi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Duuuh!!Liverpool washaandaliwa kuwa mabingwa
fuatilia baadhi ya mechi ambazo walikuwa wanapoteza ila kwa kubenwabebwa wakatoka na point angalia mechi dhidi ya lecister city
mechi dhidi ya Tottenham
na mechi dhidi ya Man city
kama sio kubebwa kungekuwa na gepu la point zsizo zidi 6
Liver atakuwa hachezi?Baada ya Wolves kumshinda Man City Jana, Liverpool ndio atacheza na Wolves
Liverpool sio tu kuwa kapata nafasi ya kumsoma kiwango cha Wolves dhidi ya timu kubwa, bali pia atapambana na Wolves ambayo imejichokea baada ya mechi nzito dhidi ya City
Na hili sip tu kwa Wolves, kabla ya hapo
Man City vs Leicester, kisha Liver vs Leicester
Leicester City baada ya kucheza mechi nzito na Man City, alipangwa kukutana na Liverpool ambayo ilimshindilia goli nne kwa bila,
Liver alimsoma Leicester udhaifu na uimara wake dhidi ya City na kuutumia, pia alimkuta Leicester kajichokea sababu ya mchaka mchaka wa City
Mechi zinazofuata
Ni Man City vs Sheffield, kisha Liverpool vs Sheffield
Hapa baada ya mechi na Wolves, City atakutana na Sheffield United, itakuwa mechi ya kukata na shoka, sababu Sheffield wapo kwenye form nzuri, pia Vity hatokubali kupoteza mechi ya pili mfululizo
Baada ya Sheffield kupambana vikali na kujeruhiana na Man City, then mechi inayofuata baada ya siku 2 anakutana na Liverpool ambaye anakuwa keshamsoma udhaifu na uimara wa kikosi kwa kipindi cha sasa, anamshindilia goli kirahisi
Hii ratiba ipo hivi kipindi hiki cha sikuukuu ambacho mechi zinakuwa zimebanana na wachezaji kuchoka, ni kipindi muhimu sana kwenye kuamua mshindi wa ligi
Je hii ni coincidence tu au ni makusudi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtakuwa mabingwa wa EPL msimu huu hilo probability yake ni 80% as of now. Kilichoanza kuzungumziwa now ni je mtaweza kuivunja rekodi ya Gunners??
YesIdadi ya team ni ileile?
ww mbona husogei pande hizi mpaka uishiwe Bando je ni hiyari au coincidence? 🖕🖕🖕kagawane na Liverpool haters wenzio K*ma wwBaada ya Wolves kumshinda Man City Jana, Liverpool ndio atacheza na Wolves
Liverpool sio tu kuwa kapata nafasi ya kumsoma kiwango cha Wolves dhidi ya timu kubwa, bali pia atapambana na Wolves ambayo imejichokea baada ya mechi nzito dhidi ya City
Na hili sip tu kwa Wolves, kabla ya hapo
Man City vs Leicester, kisha Liver vs Leicester
Leicester City baada ya kucheza mechi nzito na Man City, alipangwa kukutana na Liverpool ambayo ilimshindilia goli nne kwa bila,
Liver alimsoma Leicester udhaifu na uimara wake dhidi ya City na kuutumia, pia alimkuta Leicester kajichokea sababu ya mchaka mchaka wa City
Mechi zinazofuata
Ni Man City vs Sheffield, kisha Liverpool vs Sheffield
Hapa baada ya mechi na Wolves, City atakutana na Sheffield United, itakuwa mechi ya kukata na shoka, sababu Sheffield wapo kwenye form nzuri, pia Vity hatokubali kupoteza mechi ya pili mfululizo
Baada ya Sheffield kupambana vikali na kujeruhiana na Man City, then mechi inayofuata baada ya siku 2 anakutana na Liverpool ambaye anakuwa keshamsoma udhaifu na uimara wa kikosi kwa kipindi cha sasa, anamshindilia goli kirahisi
Hii ratiba ipo hivi kipindi hiki cha sikuukuu ambacho mechi zinakuwa zimebanana na wachezaji kuchoka, ni kipindi muhimu sana kwenye kuamua mshindi wa ligi
Je hii ni coincidence tu au ni makusudi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Baada ya Wolves kumshinda Man City Jana, Liverpool ndio atacheza na Wolves
Liverpool sio tu kuwa kapata nafasi ya kumsoma kiwango cha Wolves dhidi ya timu kubwa, bali pia atapambana na Wolves ambayo imejichokea baada ya mechi nzito dhidi ya City
Na hili sip tu kwa Wolves, kabla ya hapo
Man City vs Leicester, kisha Liver vs Leicester
Leicester City baada ya kucheza mechi nzito na Man City, alipangwa kukutana na Liverpool ambayo ilimshindilia goli nne kwa bila,
Liver alimsoma Leicester udhaifu na uimara wake dhidi ya City na kuutumia, pia alimkuta Leicester kajichokea sababu ya mchaka mchaka wa City
Mechi zinazofuata
Ni Man City vs Sheffield, kisha Liverpool vs Sheffield
Hapa baada ya mechi na Wolves, City atakutana na Sheffield United, itakuwa mechi ya kukata na shoka, sababu Sheffield wapo kwenye form nzuri, pia Vity hatokubali kupoteza mechi ya pili mfululizo
Baada ya Sheffield kupambana vikali na kujeruhiana na Man City, then mechi inayofuata baada ya siku 2 anakutana na Liverpool ambaye anakuwa keshamsoma udhaifu na uimara wa kikosi kwa kipindi cha sasa, anamshindilia goli kirahisi
Hii ratiba ipo hivi kipindi hiki cha sikuukuu ambacho mechi zinakuwa zimebanana na wachezaji kuchoka, ni kipindi muhimu sana kwenye kuamua mshindi wa ligi
Je hii ni coincidence tu au ni makusudi?
Sent using Jamii Forums mobile app