Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 11,574
- 21,849
Jamaa ana chuki zake tu binafsi
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa wewe Mcheza Rede, Kwani Liverpool na wao walilalamika kuwa wamecheza dakika 120 na Flamengo kabla ya kukutana na Leicester City?
Au dakika za Leicester tu ndiyo zinachokesha?
Sent using Jamii Forums mobile app