Jinsi Ratiba ya EPL ilivyopangwa kumbeba Liverpool, ni makusudi au coincidence?

Baada ya Wolves kumshinda Man City Jana, Liverpool ndio atacheza na Wolves

Liverpool sio tu kuwa kapata nafasi ya kumsoma kiwango cha Wolves dhidi ya timu kubwa, bali pia atapambana na Wolves ambayo imejichokea baada ya mechi nzito dhidi ya City

Na hili sip tu kwa Wolves, kabla ya hapo

Man City vs Leicester, kisha Liver vs Leicester

Leicester City baada ya kucheza mechi nzito na Man City, alipangwa kukutana na Liverpool ambayo ilimshindilia goli nne kwa bila,

Liver alimsoma Leicester udhaifu na uimara wake dhidi ya City na kuutumia, pia alimkuta Leicester kajichokea sababu ya mchaka mchaka wa City

Mechi zinazofuata
Ni Man City vs Sheffield, kisha Liverpool vs Sheffield

Hapa baada ya mechi na Wolves, City atakutana na Sheffield United, itakuwa mechi ya kukata na shoka, sababu Sheffield wapo kwenye form nzuri, pia Vity hatokubali kupoteza mechi ya pili mfululizo

Baada ya Sheffield kupambana vikali na kujeruhiana na Man City, then mechi inayofuata baada ya siku 2 anakutana na Liverpool ambaye anakuwa keshamsoma udhaifu na uimara wa kikosi kwa kipindi cha sasa, anamshindilia goli kirahisi

Hii ratiba ipo hivi kipindi hiki cha sikuukuu ambacho mechi zinakuwa zimebanana na wachezaji kuchoka, ni kipindi muhimu sana kwenye kuamua mshindi wa ligi

Je hii ni coincidence tu au ni makusudi?





Sent using Jamii Forums mobile app
Basi wacha tu-assume wewe una akili kuliko hao waingereza waliopanga hiyo ratiba. Ina maana kabla ligi haijaanza walishajua Liver, leicester na Man city watakuwa kwenye nafasi tatu za juu?
 
Hakika mtoa mada hajui kitu kuhusu EPL kule tofauti na bongo wanafanya vitu vyenye uhakika uwezi kukuta timu inaviporo 12 kama bongo ratiba inapangwa miezi miwili kabla ligi kuanza hawana mzingira ya kuibeba timu kwenye ratiba kama kulalamika walitakiwa walalamike Liverpool walicheza mechi mbili ndani ya masaa 24

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwaka juzi wakati Pep anachukua ubingwa kwa gap la point nyingi, tulilalamika kuhusu magoli ya offsides, soft penalties nk.

So, sishangai malalamiko dhidi ya Liverpool.

Fergie tulishamlalamikia, Barca tulishawalalamikia.

Ni nature ya binadamu akishindwa anatafuta sababu ya kumpa faraja.
Mtakuwa mabingwa wa EPL msimu huu hilo probability yake ni 80% as of now. Kilichoanza kuzungumziwa now ni je mtaweza kuivunja rekodi ya Gunners??
 
Umekimbia kule kwenye uzi alioanzisha mwehu mwenzako umekuja kuanzisha uzi mwingine huku.

Uwage na akili basi we jamaa.

Ratiba ya EPL huwa haipangwi kila Wiki, huwa inapangwa kabla Ligi haijaanza.

Mbona Liverpool walitakiwa wacheze na Aston Villa kwenye Carabao Cup and within 24 hours wacheze tena na Flamengo kwenye Club World Cup na watu wametulia tu.

Safari hii haters mtajifungua huku mnatembea!!
 
Baada ya Wolves kumshinda Man City Jana, Liverpool ndio atacheza na Wolves

Liverpool sio tu kuwa kapata nafasi ya kumsoma kiwango cha Wolves dhidi ya timu kubwa, bali pia atapambana na Wolves ambayo imejichokea baada ya mechi nzito dhidi ya City

Na hili sip tu kwa Wolves, kabla ya hapo

Man City vs Leicester, kisha Liver vs Leicester

Leicester City baada ya kucheza mechi nzito na Man City, alipangwa kukutana na Liverpool ambayo ilimshindilia goli nne kwa bila,

Liver alimsoma Leicester udhaifu na uimara wake dhidi ya City na kuutumia, pia alimkuta Leicester kajichokea sababu ya mchaka mchaka wa City

Mechi zinazofuata
Ni Man City vs Sheffield, kisha Liverpool vs Sheffield

Hapa baada ya mechi na Wolves, City atakutana na Sheffield United, itakuwa mechi ya kukata na shoka, sababu Sheffield wapo kwenye form nzuri, pia Vity hatokubali kupoteza mechi ya pili mfululizo

Baada ya Sheffield kupambana vikali na kujeruhiana na Man City, then mechi inayofuata baada ya siku 2 anakutana na Liverpool ambaye anakuwa keshamsoma udhaifu na uimara wa kikosi kwa kipindi cha sasa, anamshindilia goli kirahisi

Hii ratiba ipo hivi kipindi hiki cha sikuukuu ambacho mechi zinakuwa zimebanana na wachezaji kuchoka, ni kipindi muhimu sana kwenye kuamua mshindi wa ligi

Je hii ni coincidence tu au ni makusudi?





Sent using Jamii Forums mobile app
Wolves watawafunga Liverpool... usini-TAG
 
Liverpool washaandaliwa kuwa mabingwa
fuatilia baadhi ya mechi ambazo walikuwa wanapoteza ila kwa kubenwabebwa wakatoka na point angalia mechi dhidi ya lecister city
mechi dhidi ya Tottenham
na mechi dhidi ya Man city
kama sio kubebwa kungekuwa na gepu la point zsizo zidi 6
 
Liverpool washaandaliwa kuwa mabingwa
fuatilia baadhi ya mechi ambazo walikuwa wanapoteza ila kwa kubenwabebwa wakatoka na point angalia mechi dhidi ya lecister city
mechi dhidi ya Tottenham
na mechi dhidi ya Man city
kama sio kubebwa kungekuwa na gepu la point zsizo zidi 6
Duuuh!!

Basi sawa Liverpool wanabebwa na tufanye tofauti kwa sasa ni pointi 6.

Haya leta hoja ya msingi tukuelewe unachotaka.
 
Baada ya Wolves kumshinda Man City Jana, Liverpool ndio atacheza na Wolves

Liverpool sio tu kuwa kapata nafasi ya kumsoma kiwango cha Wolves dhidi ya timu kubwa, bali pia atapambana na Wolves ambayo imejichokea baada ya mechi nzito dhidi ya City

Na hili sip tu kwa Wolves, kabla ya hapo

Man City vs Leicester, kisha Liver vs Leicester

Leicester City baada ya kucheza mechi nzito na Man City, alipangwa kukutana na Liverpool ambayo ilimshindilia goli nne kwa bila,

Liver alimsoma Leicester udhaifu na uimara wake dhidi ya City na kuutumia, pia alimkuta Leicester kajichokea sababu ya mchaka mchaka wa City

Mechi zinazofuata
Ni Man City vs Sheffield, kisha Liverpool vs Sheffield

Hapa baada ya mechi na Wolves, City atakutana na Sheffield United, itakuwa mechi ya kukata na shoka, sababu Sheffield wapo kwenye form nzuri, pia Vity hatokubali kupoteza mechi ya pili mfululizo

Baada ya Sheffield kupambana vikali na kujeruhiana na Man City, then mechi inayofuata baada ya siku 2 anakutana na Liverpool ambaye anakuwa keshamsoma udhaifu na uimara wa kikosi kwa kipindi cha sasa, anamshindilia goli kirahisi

Hii ratiba ipo hivi kipindi hiki cha sikuukuu ambacho mechi zinakuwa zimebanana na wachezaji kuchoka, ni kipindi muhimu sana kwenye kuamua mshindi wa ligi

Je hii ni coincidence tu au ni makusudi?





Sent using Jamii Forums mobile app
Liver atakuwa hachezi?
 
Baada ya Wolves kumshinda Man City Jana, Liverpool ndio atacheza na Wolves

Liverpool sio tu kuwa kapata nafasi ya kumsoma kiwango cha Wolves dhidi ya timu kubwa, bali pia atapambana na Wolves ambayo imejichokea baada ya mechi nzito dhidi ya City

Na hili sip tu kwa Wolves, kabla ya hapo

Man City vs Leicester, kisha Liver vs Leicester

Leicester City baada ya kucheza mechi nzito na Man City, alipangwa kukutana na Liverpool ambayo ilimshindilia goli nne kwa bila,

Liver alimsoma Leicester udhaifu na uimara wake dhidi ya City na kuutumia, pia alimkuta Leicester kajichokea sababu ya mchaka mchaka wa City

Mechi zinazofuata
Ni Man City vs Sheffield, kisha Liverpool vs Sheffield

Hapa baada ya mechi na Wolves, City atakutana na Sheffield United, itakuwa mechi ya kukata na shoka, sababu Sheffield wapo kwenye form nzuri, pia Vity hatokubali kupoteza mechi ya pili mfululizo

Baada ya Sheffield kupambana vikali na kujeruhiana na Man City, then mechi inayofuata baada ya siku 2 anakutana na Liverpool ambaye anakuwa keshamsoma udhaifu na uimara wa kikosi kwa kipindi cha sasa, anamshindilia goli kirahisi

Hii ratiba ipo hivi kipindi hiki cha sikuukuu ambacho mechi zinakuwa zimebanana na wachezaji kuchoka, ni kipindi muhimu sana kwenye kuamua mshindi wa ligi

Je hii ni coincidence tu au ni makusudi?





Sent using Jamii Forums mobile app
ww mbona husogei pande hizi mpaka uishiwe Bando je ni hiyari au coincidence? 🖕🖕🖕kagawane na Liverpool haters wenzio K*ma ww
 
ulaya siyo hivyo.acha porojo
Baada ya Wolves kumshinda Man City Jana, Liverpool ndio atacheza na Wolves

Liverpool sio tu kuwa kapata nafasi ya kumsoma kiwango cha Wolves dhidi ya timu kubwa, bali pia atapambana na Wolves ambayo imejichokea baada ya mechi nzito dhidi ya City

Na hili sip tu kwa Wolves, kabla ya hapo

Man City vs Leicester, kisha Liver vs Leicester

Leicester City baada ya kucheza mechi nzito na Man City, alipangwa kukutana na Liverpool ambayo ilimshindilia goli nne kwa bila,

Liver alimsoma Leicester udhaifu na uimara wake dhidi ya City na kuutumia, pia alimkuta Leicester kajichokea sababu ya mchaka mchaka wa City

Mechi zinazofuata
Ni Man City vs Sheffield, kisha Liverpool vs Sheffield

Hapa baada ya mechi na Wolves, City atakutana na Sheffield United, itakuwa mechi ya kukata na shoka, sababu Sheffield wapo kwenye form nzuri, pia Vity hatokubali kupoteza mechi ya pili mfululizo

Baada ya Sheffield kupambana vikali na kujeruhiana na Man City, then mechi inayofuata baada ya siku 2 anakutana na Liverpool ambaye anakuwa keshamsoma udhaifu na uimara wa kikosi kwa kipindi cha sasa, anamshindilia goli kirahisi

Hii ratiba ipo hivi kipindi hiki cha sikuukuu ambacho mechi zinakuwa zimebanana na wachezaji kuchoka, ni kipindi muhimu sana kwenye kuamua mshindi wa ligi

Je hii ni coincidence tu au ni makusudi?





Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom