Jinsi Rais Magufuli anavyowakandamiza wanyonge

Tujifunze kulipa kodi. Watu walipe kodi.
Huna unachojua kuhusu hiyo asilimia 4 kwa sasa ya kwenye madini ni nini. Tamko limekwisha toka la kuangalia migodi inayotangaza hasara.
TAMKO LA MIGODI ITAKAYOTANGAZA HASARA kumbe ndio maana ya ASILIMIA 4?
 
mkuu, hiyo sheria itakayotungwa kuwalinda wanyonge ni kama hii iliyotungwa kuwalinda watumiaji wa MPESA?
 

Simu fake - serikari iliwanufaisha watengeneza simu "real". Mwananchi wa kawaida amechapwa na amebebeshwa adhabu kumnufaisha bwana simu "real".
Sijui itafika siku tuambiwe magari fake, pikipiki fake nakadhalika vinakusanywa vikatiwe moto? Mbona tuna vyeti, stashahada na shahada fake, na wanye hizo wanaendelea kutuongoza?
 
mkuu, hujaelewa hoja yangu.....mbona wale MAFISADI papa waliochomekea WAFANYAKAZI HEWA hawaguswi?
 
Unajua hata mja mzito ikifika wakati wa kujifungua ndiyo uchungu una zidi. ..lakini mtoto akisha toka ni furaha ya ajabu. ...haya mateso yatapita tu...utakuja kaniambia. ...ubarikiwe sana Kwa hekima na busara
mkuu, mifano unayoitoa haisadifu hoja tunayoijadili hapa.
 
mkuu, haikubaliki kutetea haki za WANYONGE kwa kuwakandamiza WANYONGE. umeelewa sasa?
 
mkuu

mkuu, kama hujui kusoma basi tazama picha hii hapa......hii ni mojawapo ya hoja niliyoiongelea....kwamba kuongezwa kodi ya ATM na kutuma pesa kwa simu, gharama zote zitahamishiwa kwa WANYONGE:

Sasa mlitegemee kupata maendeleo bila ya kodi?
 
Utawajua je wafanyakazi hewa bila kuwajua walio wachomeka?
swadakta! naona sasa somo limeeleweka, hawa ndio niliokuwa nahoji kwa nini hawaguswi...WACHOMEKWAJI wanabanwa wakati WACHOMEKAJI hawaguswi! sasa tumeenda sawa. sasa tujiulize...MBONA HAWA HAWAGUSWI? KUNA NINI HAPA?
 
Nitakuelewa vipi wewe mpotoshaji? Huwezi kunipotosha utawapata hao walio wajinga tu.
mkuu, kama hujui kusoma basi tazama picha hii hapa......hii ni mojawapo ya hoja niliyoiongelea....kwamba kuongezwa kodi ya ATM na kutuma pesa kwa simu, gharama zote zitahamishiwa kwa WANYONGE:
 

Attachments

  • upload_2016-6-23_19-50-56.jpeg
    24.6 KB · Views: 22

Uliyoyaongea naamini mweshiwa anayajua ila ameamua kuchukua uamzi aliouchukua...endapo utaonekana unaumiza wananchi, wapiga kura watafanya uamzi wa kutomrudisha kwenye uraisi 2020...nyie wengine ni wanafiki tu mlimpinga asiingie madarakani lakini alikomaa akawin kwa wananchi, leo mnamfundisha kazi....!! nakushauri urudi bungeni ukapambane na tulia
 
Kuna mtu alishabikia sn CCM,juzi eti ananiazima laki 1 na sabini.Nilimshangaa sn.
 
Katika hayo yote uloandika nadhani moja tu la kuingilia soko huria ndilo linamashiko, mengine unataka kutunywesha sumu kwa sababu ni mambo mtambuka.
 
Tuwe Na subira sufuria zilizo pikiwa Nyama zinaoshwa ili tupike ubwabwa,changamoto lazima zitokee. Tulikuwa pabaya,TRA kunamtu alikuwa kitengo cha kufanya usajiri wa magari kila Sikh so chini ya milioni tano alikuwa anakusanyia mfukoni make.
 
Someone once said, " If it doesn't hurt, it ain't working". Akajibiwa, "It hurts and it ain't working".
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…