Jinsi ninavyoishi na mke wangu nyumbani

Jinsi ninavyoishi na mke wangu nyumbani

Bavaria

JF-Expert Member
Joined
Jun 14, 2011
Posts
53,092
Reaction score
53,568
altAmNdhvGiN8djkhS5RZwjcZe2KpOZd4rY4wEvWfLSt-xa.jpg
 
Haiwezekani kuwa ni wewe tu unaomba msamaha hata pale mkeo anapokuwa amechepuka ; lazima amekufanyia maarifa ya kiswahili [ limbwata] kwani hiyo sio hali halisi ya mwanaume lijali kuongoza nyumba yake!!
 
hongera mkuu mi hapo akifanya sumting stupid nmvuruga kwel kwel maana nakua stupid zaid yake
 
Ndio nyie mkiwa home mnafanywa mabwege na hamna say kwa wake zenu halafu huku mnajifanya wababe tuwaone wanaume kumbe siri unaijua mwenyewe unavyopelekeshwa home..
 
Huwa narudi 6.00 usiku nikute amelala, niko mamba bar kwa sasa nasubiri time..
 
Iko poa sana kama sio scene!! Nitajitahidi na Mimi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom