ONTARIO
JF-Expert Member
- Oct 16, 2013
- 1,885
- 17,018
- Thread starter
- #361
Okey! Juzi kati nilivyokua nakwambia niko Johannesburg, nilikutana na trader mmoja. Yeye alinunua 'Pipcoin' - hii ni crypto currency ya kwanza Africa inayomilikiwa na Dogo anaitwa Ref Wayne.Wanasema eti inazinduliwa april,,asante kwa kunielewesha shukrani
Hizo pipcoin zilikuwa zinauzwa kwa rand 300, yani less than $30. Watu wakazinunua kwa pupa sana, leo hii kila aliyenunua hana wa kumuuzia, haina demand, price yake imeDepreciate hadi kufika $0.5
Sasa just watch out kabla hujawekeza kwa hao uwe umejiridhisha beyond unquestionable doubts.